• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

“MAREHEMU Florence John Nyingo hakufa kwenye foleni ya mbolea “

Imewekwa kuanzia tarehe: November 7th, 2022

MSEMAJI wa familia ya Marehemu Florence John Nyingo kupitia kwa Mdogo wa Marehemu Nestory John Nyingo amesema familia imesitikishwa na taarifa ambazo sio sahihi zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa ndugu yao alifariki baada ya kuzidiwa akiwa kwenye foleni ya mbolea ya ruzuku katika duka la Mohamed Enterprise mjini Songea.


Akizungumza kwenye mkutano wa wanahabari mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Pololet Mgema,mdogo wa Marehemu amesema Marehemu kaka yake alikuwa na matatizo ya kiafya na alizidiwa akiwa ametoka nyumbani kwao Nakahuga Wilaya Songea na alipofika naye stendi ya Mfaranyaki mjini Songea alizidiwa na kuishiwa nguvu na kwamba alikodi pikipiki na kumkimbiza hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma ambako alifariki wakati anaendelea kupata matibabu..


Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Pololet Mgema amewaambia wanahabari kuwa taarifa zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari sio sahihi,hazikufanyiwa utafiti na zinastahili kukanushwa ili watanzania wapate taarifa sahihi.


Hata hivyo ameipongeza serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa mbolea ya ruzuku kwa wananchi wa Mkoa wa Ruvuma ambao ni wazalishaji wakubwa wa mazao ya chakula.


Amesema serikali wilayani Songea inaendelea kushughulika changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wa Mfumo wa mbolea ya ruzuku ambao wakulima wengi wananufaika nao.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.