• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MSAADA wa Kisheria kwa wananchi ni Bure

Imewekwa kuanzia tarehe: September 28th, 2021

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Steven Ndaki  amezindua kamati ya Uratibu ya msaada wa kisheria ya  Mkoa wa Ruvuma.

Akizungumza katika kikao cha uzinduzi wa kamati hiyo  kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa amesema Serikali kupitia Wizara ya katiba na Sheria imepewa mamlaka kwa mujibu wa Sheria ya Msaada kwa kisheria na.1 ya 2017.

Ndaki amesema Wizara kupitia  ofisi ya Rais Tamisemi  imeweza kutoa mafunzo kwa maafisa Maendeleo ya jamii wa Mkoa na Wilaya  ambao kwa sasa wanatambulika kama wasajili wasaidizi  wa mtoa huduma ya msaada wa kisheria.

Hata hivyo Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa wadau wa msaada wa kisheria kwa ngazi ya Mkoa na jukumu lake kubwa ni kusimamia utekelezaji wa sheria ya msaada wa kisheria na kanuni zake.

“Naomba nisisitize kufanya kazi kwa ushirikiano miongoni mwa wadau kwa lengo la kumsaidia mwananchi wa chini kabisa ambae amekosa uwezo wa kuendesha kesi”.amesisitiza Ndaki

Ndaki amesema vyombo vya habari vitumike katika kutoa elimu ya msaada wa kisheria kwani ni kiungo muhimu katika kufikisha taarifa kwa wananchi.

Kwa upande wake Naomi Ngago  Katibu wa chama cha Mawakili  Mkoa wa Ruvuma amesema wameendelea kutoa Elimu ya msaada wa kisheria kwa wananchi kupitia redia.

Ngago amesema chama cha Mawakili Ruvuma wamesikiliza mashauri kwenye makosa ya jinai na kushirikiana na Mahakama kuu kutoa mawakili kusimamia kesi zao bure na kuwatembelea magereza na kujua changamoto zao na kuzitatua.

 “Tunakuna na changamoto nyingi  ikiwemo uwepo wa kesi nyingi lakini bado wanachini hawana elimu ya msaada wa kisheria hawajui pakuanzia hususani watu wa vijijini ,wateja wengi kuomba msaada wakati mda umepita wa kesi zao mara baada ya kwenda kwa mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa ”.

Wakili wa Wizara ya Katiba na Sheria George Molel akitoa mafunzo kwa wanakamati hao amesema msaada wa kisheria hufanywa na mawakili kwenda mahakamani  upo katika makosa ya jinai na madai.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Ofisi ya Habari ya Mkuu wa  Mkoa wa Ruvuma

Septemba 28,2021.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.