• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MASOKO ya madini Ruvuma yaingiza zaidi ya bilioni 5.534

Imewekwa kuanzia tarehe: July 23rd, 2020

Masoko  ya madini ya vito na dhahabu ya Tunduru na Songea tangu kufunguliwa kwake Mei 2019 hadi kufikia Mei 2020 yamewezesha kununuliwa  madini ya vito na dhahabu yenye uzito wa gramu  390,936.27  yenye thamani ya shilingi  bilioni 5,534,894,572.49,mrabaha uliopatikana katika mauzo hayo ni shilingi  milioni 332,093,674.35,ada ya ukaguzi iliyopatikana ni shilingi milioni 55,348,945.72 na kodi ya huduma iliyopatikana katika kipindi hicho ni shilingi milioni 16,604,683.72

Akitoa taarifa  ya sekta ya madini mkoani Ruvuma katika kipindi cha miaka mitano ya utekelezaji wa Ilani ya CCM katika kipindi cha kuanzia mwaka 2015 hadi 2020, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme 

Mkoa wa Ruvuma, katika juhudi za kutekeleza Ilani ya chama cha Mapinduzi imeendelea na utekelezaji wa shughuli mbalimbali kwa ajili ya kukuza Sekta ya Madini katika Mkoa. Kufuatia juhudi za Mhe. Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sekta ya Madini Mkoa wa Ruvuma imekuwa kwa kasi katika maeneo ya uwekezaji kwenye leseni za uchimbaji, uzalishaji madini, ajira pamoja na makusanyo ya maduhuli ya Serikali. Jedwali lifuatalo linabainisha ongezeko katika maeneo hayo kwa ulinganisho kati ya mwaka 2015 na 2020.

Jedwali : Ongezeko la shughuli za uchimbaji na biashara ya madini pamoja na makusanyo ya maduhuli ya Serikali katika Sekta ya Madini – Mkoa wa Ruvuma 

Na.

KIPENGELE

Mwaka wa

Fedha

2015/16

Mwaka wa

Fedha 2019/20

Ongezeko

(%)

1

Kuongeza idadi ya Wamiliki wa Leseni za Uchimbaji




(i)
Leseni za uchimbaji Mdogo (PMLs)

283

1,171

313.78


(ii)
Leseni za uchimbaji wa Kati (MLs)

5

9

80.00


(iii)
Leseni za uchimbaji Mkubwa (SMLs)

1

1

-


(iv)
Leseni za Utafiti wa Madini (PLs)

31

66

112.90


(v)
Leseni za Biashara Kubwa ya Madini (Dealers)

25

53

112.00


(v)
Leseni za Biashara ya Udalali wa Madini (Brokers)

12

60

400.00


(vi)
Viwanda vya Uchenjuaji wa Madini ya Dhahabu

-

5

100.00

2

Kuongezeka kwa Makusanyo ya maduhuli serikalini (TZS)

1,034,131,469

7,465,795,848

621.94

3

Kuongezeka kwa uzalishaji na biashara ya makaa ya mawe (Tani)

248,243

636,758.76

156.51

4

Mauzo ya madini kwenye Masoko ya Madini ya dhahabu na Vito vya Thamani




(ii)
Thamani ya Mauzo ya Madini ya Dhahabu (TZS)

56,500,000

4,787,234,596

8,372.98


(ii)
Thamani ya Mauzo ya Vito vya Thamani (TZS)

500,300,000

1,304,763,172

160.80

Jedwali : Ongezeko la ajira katika Sekta ya Madini – Mkoa wa Ruvuma

Na


AINA YA LESENI

IDADI YA AJIRA   

ONGEZEKO LA AJIRA

KWA MWAKA

DES 2015 – JUN 2020

DES 2015

JUN 2020

NDANI

NJE

NDANI

NJE

NDANI

NJE

1

Leseni za uchimbaji Mkubwa (SMLs)

95

10

27

2

-68

-8

2

Leseni za uchimbaji wa Kati (MLs)

281

3

517

12

236

9

3

Leseni za uchimbaji Mdogo (PMLs)

20

0

102

0

82

0

4

Leseni za Bishara Kubwa ya Madini (Dealers)

30

15

102

35

72

20

5

Leseni za Bishara ya Udalali wa Madini (Brokers)

32

0

58

0

26

0


JUMLA

458

28

806

49

416

29

Ujengwaji wa kituo cha umahiri

Katika kutatua changamoto wanazokabiliana nazo wachimbaji wadogo wa Madini nchini. Serikali inajenga kituo cha Umahiri kwa ajili ya  wachimbaji wadogo.

Kituo hicho kina faida zifuatazo.

  •   Uwepo wa takwimu za wachimbaji wadogo katika mkoa wa RUVUMA;

  Upatikanaji wa maeneo;  yaliyotengwa kwa ajili ya wachimbaji wadogo

  Utoaji wa mafunzo na maarifa  kwa Wachimbaji wadogo kupitia wadau mbalimbali;

  Mfumo wa kutathmini mashapo ya madini yaliyopo ili kufanya uchimbaji wenye tija;

  Mikopo na mitaji kwa wachimbaji wadogo;

  Uongezaji wa thamani madini na masoko;

  Utatuzi wa migogoro ya uchimbaji madini inayojitokeza.


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.