• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MBINGA ilivyodhamiria kutokomeza ukatili wa kingono dhidi ya watoto

Imewekwa kuanzia tarehe: June 8th, 2021

Ukatili wa kingono umekuwa ukufanyika katika jamii ambapo kesi nyingi zimekuwa azilipotiwi kwa wakati. Makosa yanayo jitokeza  Vijijini na Mijini kumekuwepo na dhana ya kuwa mtuhumiwa ni ndugu wakaribu, yaweza kuwa ni mwenye cheo au wadhifa fulani katika familia husika,  ambapo kwa namnamoja au nyingine dhana hiyo imekuwa kama kinga kuwaficha wahalifu hao na kufanya ukatili huo kuendelea kuwepo kwakuwa watuhumiwa hawachukuliwi hatua za kisheria   

 Semina hiyo ilio kuwa ikitolewa na mashirika ya CSSC, PACT, PEPFAR,na USAID  wakiwashirikisha  viongozi katika ngazi ya kata wakiwemo Walimu,Watendaji wa kata, Wazee wa Mila, Wachungaji, Polisi Dawati la jinsia  na Madiwani . Viongozi hao wametakiwa kuwa wafuatiliaji pamoja ya kwamba wao ni viongozi na  pia ni wazazi wanapaswa kujua niwapi mtoto anaweza kuwepo na kwa usalama kiasi gani     

Maeneo kama Nyumbani, Mashuleni  na maeneo yanayo tuzunguka yamebainishwa kuwa na ukatili wa kingono kwa watoto, na kwamba viongozi hawo wametakiwa kushirikiana kuwabaini watuhumiwa, bila kujali nafasi au wadhifa wa mtu  alionao ili kuwafikisha katika vyombo vya sheria. Pia viongozi hao wametakiwa kuwa wafuatiliaji wa kesi hizo na kuakikisha sheria ifuatwe pindi itathibitika kufanyika ukatili huo.

Ata hivyo utolewaji wa taarifa kwa matukio ya ukatili wa kingono imeshauriwa yawe yenye  usiri katika jamii  hii itasaidia vyombo vya usalama kufanya uchunguzi kwa usahii na kuwabaini watuhumiwa  pasipo na shaka. Kama viongozi pia yatupasa kumwakikishia mtoto kua sioyeye mtenda kosa, kumwamini hii  itampa mtoto ujasili kusaidia kupata taarifa sahii na mapema   

Utambuzi wa lasilimali zinazo tuzunguka kama Vituo vya Afya, Wataalamu wa Sheria, Dawati la jinsia, Usalama wa polisi, kama viongozi watambue hilo na pia kiongozi anawajibu  kuzikemea mila potofu kwa jamii ,tukiyafanya hayo kwa kushirikiana tutaweza kuepuka Ukatili wa Kingono kwa watoto na jamii kwa ujumla

Imetolewa na Kaimu Afisa Habari Mbinga, Christian Makangury    

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.