• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MBINGA ilivyotikisa kwa mapato ya ndani

Imewekwa kuanzia tarehe: June 22nd, 2025


Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma imeweka rekodi mpya ya kiutendaji kwa kuvuka lengo la ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa kiwango kikubwa.

Halmashauri hiyo imefanikisha  makusanyo ya Shilingi bilioni 12.2 dhidi ya lengo la Shilingi bilioni 8.4 kufikia Juni 30, 2025. 

Mafanikio haya yametajwa katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani cha kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kilichofanyika hivi karibuni.

Mkuu wa Kitengo cha Fedha na Uhasibu wa Halmashauri hiyo, CPA Samwel Marwa, amesema mapato hayo yameongezeka kutoka Shilingi bilioni 3.4 mwaka 2021 hadi bilioni 12.4 mwaka huu, akibainisha kuwa mafanikio hayo ni matokeo ya mshikamano wa wataalamu wa Halmashauri, madiwani na wananchi. 

Alisisitiza kuwa usimamizi madhubuti wa sheria ndogo pamoja na kuziba mianya ya upotevu wa mapato kumechangia kwa kiasi kikubwa ongezeko hilo.

CPA Marwa ametaja vyanzo vikuu vya mapato kuwa ni ushuru wa zao la kahawa (Sh. bilioni 4.3), makaa ya mawe (Sh. bilioni 3.3), ushuru wa huduma (Sh. bilioni 1.35), pamoja na ushuru wa mazao na michango kutoka kwa wananchi katika ngazi ya kata. 

Kwa upande wake, Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Mary Makondo, ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kupata hati safi kwa mwaka wa fedha 2023/2024, ikiwa ni mara ya nne mfululizo. 

Amesema hati safi ni ishara ya usimamizi mzuri wa fedha za umma na utekelezaji wa majukumu kwa kuzingatia sheria na taratibu za Serikali.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Mkoa wa Ruvuma, Nicolas Kilinga, amehimiza uongozi wa Halmashauri  hiyo kujibu kwa wakati hoja zote za ukaguzi ili kudhibiti ongezeko la hoja mpya. .



Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KITUO cha polisi cha kisasa chafunguliwa Namtumbo kwa gharama ya milioni 798

    June 22, 2025
  • JENISTA MHAGAMA akabidhi mashine na ng'ombe Peramiho

    June 22, 2025
  • WANAWAKE Ruvuma msibakie nyuma kwenye nafasi za uongozi

    June 22, 2025
  • MBINGA ilivyotikisa kwa mapato ya ndani

    June 22, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.