• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MBINGA ina upungufu wa watumishi wa afya 1,718

Imewekwa kuanzia tarehe: October 22nd, 2023

WILAYA ya Mbinga mkoani Ruvuma ina upungufu wa watumishi wa afya 1,718 kati ya mahitaji ya watumishi 2,366 wanahitajika katika Divisheni ya Huduma ya Afya,Lishe na Ustawi wa Jamii.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mheshimiwa Aziza Mangosongo wakati anatoa taarifa ya Wilaya hiyo kwa Naibu Waziri wa Afya DR.Godwin Mollel ambaye amefanya ziara ya kikazi ya siku mbili Wilayani Mbinga.

Mangosongo amebainisha kuwa watumishi wa afya waliopo wilayani humo ni 648 na kwamba kati yao katika Halmashauri ya Mbinga mji wapo watumishi 319 na upungufu ni  watumishi 864.

Amewataja watumishi wa afya waliopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kuwa ni 329 na upungufu ni watumishi 854.

“Mheshimiwa Naibu Waziri kwa ujumla Wilaya ina upungufu mkubwa wa watumishi wa Divisheni ya Afya,Lishe na Ustawi wa Jamii hivyo tunaiomba serikali kupitia Wizara ya afya mtukumbuke na kutuangalia kwa jicho la ziada tuna upungufu mkubwa wa watumishi “,alisisitiza Mangosongo.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Wilaya ya Mbinga amesema  hadi kufikia Juni 2023 Wilaya hiyo imetumia zaidi ya shilingi bilioni 4.6 kwa ajili ya ukarabati na ujenzi wa vituo vya kutolea huduma za afya na nyumba za watumishi.

Akizungumza baada ya kupokea taarifa hiyo Naibu Waziri wa Afya DR.Godwin Mollel ameipongeza Wilaya ya Mbinga kwa usimamiaji mzuri wa miradi ya maendeleo.

Hata hivyo ameahidi kuhakikisha changamoto walizozitaja zinapatiwa ufumbuzi ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.