• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MBINGA yaanza kutoa chanjo ya homa ya ini

Imewekwa kuanzia tarehe: May 11th, 2021

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga imeanza rasmi kutoa huduma ya vipimo na chanjo ya Homa ya Ini leo Mei 6 na viongozi na watumishi wa Halmashauri hiyo wamepata fursa ya kuhudumiwa.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Bw. Juma Mnwele ameongoza zoezi hilo kwa kupata huduma ya vipimo na chanjo sambamba na viongozi wengine na watumishi wa Halmashauri hiyo, zoezi ambalo limefanyika kwenye Ofisi za Halmashauri zilizopo Kiamili.

Mkurugenzi Mnwele pia ametoa rai kwa watumishi wote na wananchi kwa ujumla kuchangamkia fursa hiyo adhimu ya kupata chanjo ya Homa ya Ini na kuongeza kusema serikali imefanya jitihada kubwa kuhakikisha huduma hiyo inatolewa tena kwa gharama nafuu ikilinganishwa na gharama halisi na ambazo zimekua zikitozwa kwenye maeneo mbalimba ambayo yamekua yakitoa huduma hiyo.

Naye Mganga Mkuu wa Wilaya, Dkt. Louis Chomboko ameihakikishia jamii na kuondoa hofu juu ya usalama wa chanjo hiyo ambayo inachukua muda mfupi sana kutolewa na kufafanua zaidi kuwa huduma hiyo inatolewa kwa watu wote wenye umri wa kuanzia miaka 19 na kuendelea.

Huduma ya vipimo na chanjo ya Homa ya Ini imepangwa kutolewa kwenye miji midogo yote ya Kuandaa, Mkumbi, Maguu, Kigonsera na Matiri ambapo uzinduzi rasmi utafanyika Matiri, Jumatatu Mei 10 huku Mkuu wa Wilaya ya Mbinga akitarajiwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye uzinduzi huo.

Kesho Ijumaa Mei 7 huduma hiyo ya vipimo na chanjo ya Homa ya Ini itaendelea kutolewa kwenye Mji Mdogo wa Kigonsera ambapo pia itatolewa wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani kitakachofanyika kwenye Ukumbi wa Parokia ya Kigonsera na Wah. Madiwani, watumishi na wananchi watakua na fursa ya kupata huduma hiyo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.