• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MBINGA yakusanya mapato ya ndani zaidi ya biilioni 2.9

Imewekwa kuanzia tarehe: November 4th, 2024

HALMASHAURI ya wilaya Mbinga mkoani Ruvuma,katika kipindi cha miezi mitatu Julai hadi Septemba 2024  imekusanya  zaidi ya Sh.bilioni 2,964,142,561 sawa na asilimia 35 kati ya lengo la kukusanya  Sh.bilioni 8,400,000,000 kutoka vyanzo mbalimbali vya mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Andrew Mbunda amesema hayo ,kwenye kikao cha robo ya kwanza  cha Baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo.

Amesema ,hadi tarehe 30 Septemba Halmashauri imepokea Sh.bilioni 7,042,293,300 sawa na asilimia 26 ya makisio ya Sh.bilioni 27,227,634,000.00 kwa ajili ya mishahara ya watumishi na Sh.bilioni 1,769,097,000  kati ya Sh.bilioni 2,536,195,000.00kwa ajili ya matumizi mengineyo.

Amesema ,ongezeko hilo ni baada ya kupokea  Sh.bilioni 1,417,962,000.00 kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajia kufanyika tarehe 27 Novemba  kwa ajili ya kuwapata viongozi wa vitongoji na vijiji.

 Mbunda amesema, Halmashauri imepokea jumla ya Sh.bilioni 3,291,768,549 kati ya Sh.bilioni 9,918,358,720 kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali yenye lengo la kuboresha  huduma za kijamii na kuharakisha maendeleo ya wananchi waliopo katika Halmashauri hiyo.

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Mbinga Mheshimiwa  Kisale Makori,amewapongeza watumishi na madiwani wa Halmashauri ya wilaya Mbinga kwa kazi nzuri ya kutekeleza miradi na kusimamia shughuli za maendeleo ikiwemo zoezi la uandikishaji wananchi katika Daftari  la wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Makori aliyewakilishwa na kaimu Katibu tawala wa wilaya hiyo Karim Mzee,amewataka wazazi na walezi kuhakikisha wanachangia chakula kwa ajili ya watoto wao waliopo shuleni badala ya kazi ya kutoa chakula kuachwa ifanywe na Serikali.

Naye Mwakilishi wa Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Amandus Chilumba,amewaomba  madiwani   kudumisha upendo na mshikamano utakaosaidia Halmashauri yao kuendelea kuwa kinara kwenye makusanyo ya  mapato ya ndani katika mkoa wa Ruvuma.







Alisema,Halmashauri itapata maendeleo iwapo kutakuwa na maelewano kati ya madiwani,wakuu wa idara na watumishi  wa ngazi ya chini ambao kimsingi ndiyo wanaotumika katika kukusanya mapato  na kutekeleza miradi ya maendeleo.






Chilumba,amewataka watumishi na madiwani wa Halmashauri hiyo  kubuni na kutafuta vyanzo vipya vya mapato pamoja na kudhibiti mianya yote inayochangia kutoroshwa mapato yanayokusanywa kutoka kwenye vyanzo mbalimbali.



Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.