• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MCHEZO mpya Ruvuma wakabidhiwa vifaa

Imewekwa kuanzia tarehe: August 25th, 2020

Katibu Mkuu  wa chama cha Mchezo wa Baseball na Softball  Association Tanzania Alpherio Nchimbi amekabidhi vifaa vya mchezo huo kwa Kaimu afisa Michezo wa Mkoa wa Ruvuma Anzawe Chaula.

Makabidhiano hayo ya vifaa vya michezo  ya wanafunzi wa shule za sekondari  yalifanyika jana katika ofisi ya sekisheni ya Elimu Mkoa wa Ruvuma.

Nchimbi amesema vifaa vilivyotolewa ni kwa ajili ya kujikita katika mashindano ya UMISETA ikifuatiwa na agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipokuwa mgeni rasmi wakati  anafungua uwanja wa Taifa wa baseball  katika uwanja wa Azania sekondari Dar es salaam Desemba 2018.

“Chama cha michezo cha Baseball ni chama cha kwanza kumiliki uwanja wake juhudi hizo zimesababisha  Serikali ya Japan kuamua kutufadhili”.alisema Nchimbi

Amesema Kwa Mikoani mchezo huo unachezwa katika viwanja vya kawaida ambavyo wataalamu wameweka vipimo katika viwanja hivyo.

Hata hivyo amesema Kutokana na Juhudi za mkoa wa Ruvuma watashauriana na kamati kuu kumpata mchezaji mmoja wa kuwakilisha mchezo wa softball kwenda kuwakilisha nchi ya Tanzania 2021

Nchimbi amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi sita Duniani  zilizobahatika kupata nafasi ya kupeleka timu  kabla ya olimpic ya mwaka 2020 na kuhairishwa hadi mwaka  2021 kutokana na ugonjwa wa Corona.

Kaimu Afisa Elimu Mkoa wa Ruvuma Anzawe Chaula amesema Mkoa wa Ruvuma ni mkoa wenye vipaji vingi  lakini  macho ya wengi yanaangalia kwenye soka tu hali iliyosababisha hadi  kuhangaika na timu ya Majimaji kuipandisha daraja.

Chaula amesma mkoa wa Ruvuma ni mkoa wanne  nchini kuwa  chama cha mchezo wa baseball na softball ambacho kimesajiliwa na ni kitu kipya hivyo amesahauri  uwekezaji mzuri kufanyika  kwa kuwa  mchezaji mmoja kutoka Ruvuma anawakilisha Nchi ya Tanzania.

Imeendaliwa na Aneth Ndonde

Ofisi ya Habari Mkoa wa Ruvuma

Tarehe 25 Agosti

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.