• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MELI zilizonunuliwa katika serikali ya Awamu ya kwanza katika ziwa Nyasa

Imewekwa kuanzia tarehe: September 14th, 2024

Serikali ya Awamu ya kwanza  ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyoongozwa na Hayati Baba wa Taifa Mwl.Julius Nyerere kama zilivyoserikali zilizofuatia ilinunua meli mbli za kubebba abiria katika ziwa Nyasa ambapo meli za Mv.Songea ,MV. Iringa na MV Mbeya I zilinunuliwa na kutoa huduma kwa wananchi  wa mikoa ya Mbeya,Njombe na Ruvuma.

MV Songea ni meli ya abiria na mizigo inayofanya safari katika Ziwa Nyasa. Ilikuwa inatoa huduma ya usafiri wa kibiashara na kwa abiria. Meli hii ilisaidia sana katika kuunganisha miji na vijiji vilivyo  mwambao mwa  ziwa Nyasa kwenye mikoa ya Mbeya,Njombe na Ruvuma

MV Iringa ni meli nyingine ya abiria na mizigo iliyokuwa inafanya  kazi katika Ziwa Nyasa. Kama MV Songea, MV Iringa ilitumika katika kutoa huduma za usafiri kwa watu na bidhaa kwenye ziwa hilo. Meli  kwa muda mrefu  zilikuwa  njia muhimu ya mawasiliano na biashara katika sehemu hii ya  kusini mwa Tanzania.

Ziwa Nyasa linatumiwa kwa usafiri wa majini kwa sababu ya ukubwa wake na umuhimu wake kiuchumi. Meli kama MV Songea na MV Iringa zilichangia  katika maendeleo ya eneo hili kwa kurahisisha usafiri na kubadilishana bidhaa na huduma.

Meli ya MV Iringa wakati huo  ikiwa imetia nanga katika bandari ya Liuli wilayani Nyasa mkoani Ruvuma

Hata hivyo serikali za awamu ya Tano na Sita zimeendelea kuboresha usafiri wa majini katika ziwa Nyasa  baada ya kununua Meli za MV Mbeya II, MV Ruvuma, na MV Njombe ni meli zinazofanya kazi katika Ziwa Nyasa na zinamilikiwa na Serikali ya Tanzania. 




Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.