• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MFUKO wa Misitu Tanzania watoa elimu ya vitalu kwa walimu Madaba

Imewekwa kuanzia tarehe: March 23rd, 2023

WALIMU wa  Halmashauri ya Madaba wilayani Songea mkoani Ruvuma wapewa mafunzo ya uanzishwaji wa vitalu na upandaji Miti Mashuleni katika Shule  shule nne za msingi

Mafunzo hayo yametolewa na Mtendaji Mkuu Mfuko wa Misitu Tanzania Taasisi ambayo  ipo chini ya Wizara ya maliasili na Utalii Tuli Msuya katika ukumbi wa Halmashauri kwa  shule za Msingi nne Njege,Lilondo,Mahanje,na Igawisenga.

Amesema kupitia mradi huo wadau lazima wawe wameanza kutekeleza mradi wa uhifadhi ili wapatiwe ruzuku kwaajili ya uwezeshaji wa mradi ambao ulioanza  kutekelezwa.

Msuya amesema mradi huo ni chanzo cha uhakika na niendelevu kwaajili ya kugharamia ,kuwezesha na uhifadhi wa maliasili na misitu Nchini Tanzania ikiwa mfuko huo unatoa uwezeshaji kupitia ruzuku kwa wadau ambao wanawasilisha maombi kwaajili ya kuomba ruzuku dirisha la maombi hutolewa Desemba na kufungwa Machi kila Mwaka.

Msuya amesema  ruzuku hiyo inatolewa kwa Mikoa yote Tanzania Bara ikiwa kwa Mkoa wa Ruvuma wameanza na Wilaya tatu Songea,Mbinga na Nyasa.

“Nawasihi sana Walimu pamoja na viongozi wa Halmashauri mhamasishe Shule wawasilishe maandiko kwaajili ya kunufaika na mradi”.

Amesema Ruzuku hiyo hutolewa kwa watu wote kwa maana watu binafsi,vikundi vya kijamii,asasi za kiraia, Taasisi za Serikali,Taasisi za kidini, Watafiti na mashirika yasiyo ya kiserikari.

Msuya ametaja lengo la mradi huo wa uanzishwaji wa vitalu na upandaji miti ni kwaajili ya kuiweka Tanzania kuwa kijani na watanzania kuendelea kupata hewa ya oksijeni, hivyo shule ambazo zimepatiwa  mafunzo na kupewa ruzuku wataotesha vitalu na kugawa miche  katika Shule zingine pamoja na wananchi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.