• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MFUMO wa M-MMA sasa kushuka hadi ngazi ya Jamii

Imewekwa kuanzia tarehe: July 12th, 2024

Serikali kupitia Wizara ya Afya imetoa mafunzo ya mfumo wa M-MMA  kwa Maafisa Habari na Watoa Elimu ya Afya kwa Umma ngazi ya Halmashauri ili kupunguza idadi ya vifo vitokanavyo na Wajawazito na Watoto Wachanga katika jamii.

Akizungumza wakati kufunga mafunzo hayo Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr. lious Chomboko amewataka Washiriki kwenda kuyafanyia kazi kwa umakini mafunzo hayo kwa lengo la kutimiza adhima ya Serikali ya kuokoa maisha ya Wajawazito na Watoto Wachanga.

Chomboko amesema lengo la serikali ni kuona idadi ya vifo vya Wajawazito na Watoto Wachanga katika jamini hivyo waende kusimamia na kutoa elimu zaidi katika jamii kutumia elimu waliyopata katika mafunzo hayo.

“Serikali ikishirikiana na wadau imeamua kuongeza nguvu ya kupunguza idadi ya vifo hivyo kupitia Mfumo huu wa M-MMA ambao unahusisha Usafirishaji wa Dharura kwa Wajawazito na Watoto Wachanga lengo ni  kunusuru maisha ya wajawazito na watoto kutumia huduma ambapo sasa unashushwa hadi ngazi ya jami ” amesema Dr chomboko

Naye Mratibu wa mwezeshaji wa mfumo wa Usafirishaji wa Dharura kwa Wajawazito na Watoto Wachanga (M-MMA) kitaifa, Hamady Rashidi Ally amesema mafunzo hayo ni kwa ajili ya kuwajengea uwezo wa kuelimisha matumizi ya namba ya huduma ya 115 ambayo utimika kwa Dharura pindi inapoitajika msahada kwa Wajawazito na Watoto Wachanga.

Akizungumza mara baada ya mafunzo hayo Mratibu wa mfumo wa M-MMA Mkoa wa Ruvuma Frida Meta amesema wanaishukuru serikali kwa kuwawezesha mafunzo hayo kwani  yanaenda kupunguza idadi ya vifo vile vile  jamii itapata elimu kuhusu matumizi sahihi ya namba ya msahada 115

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.