• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MICHE ya miti 1,290,000 kupandwa Ruvuma mwezi huu

Imewekwa kuanzia tarehe: January 19th, 2025

Mkoa wa Ruvuma unatarajia kupanda miche ya miti ya aina mbalimbali 1,290,000 hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Januari 2025.

Miti hiyo inapandwa katika maeneo mbalimbali katika Wilaya zote tano za Mkoa wa Ruvuma.

Kulingana na ratiba ya upandaji miti ya mwezi Januari iliyotolewa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania TFS,Katika Halmashauri ya Madaba kwenye mashamba yaliyoungua moto eneo la Wino na eneo la hospitali ya Madaba jumla ya miti 260,000 imepandwa.

Katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea eneo la hifadhi ya Litenga miti 100,000 imepandwa na hifadhi ya Lihanje miti 150,000 imepandwa.

Wilayani Mbinga eneo la mgodi wa TANCOAL na migodi mingine 16 miti 160,000 imepandwa, milima ya Kihangimauka miti 100,000 imepandwa,shamba la miti Mbambi miti 110,000 na milima ya Liumbe imepandwa miti 55,000.

Zoezi la upandaji miti pia limefanyika wilayani Nyasa katika eneo la Upolo ambapo miche 110,000 imepandwa na miche 15,000 imepandwa katika barabara za Kilosa na eneo la hospitali ya Wilaya.

Upandaji miti pia unatarajia kufanyika katika wilaya ya Namtumbo eneo la chanzo cha Mto Luegu ambapo miche ya miti 10,000 inatarajia kupandwa na wilayani Tunduru jumla ya miti  100,000 itapandwa katika shamba la miti la Halmashauri na maeneo ya sekondari za Tunduru na Masonya.

Uzinduzi wa upandaji miti kimkoa ulifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed katika viwanja vya hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma eneo la Mwenge mshindo Manispaa ya Songea ambapo Zaidi ya miti milioni 6.9 inatarajiwa kupandwa katika Mkoa mzima msimu huu.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.