• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MICHE ya miti 6200 yapandwa katika chanzo cha mto Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: January 25th, 2020

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imeadhimisha siku ya upandaji miti kitaifa Januari 24 kwa kupanda miche ya miti 6200 katika chanzo cha maji Namanditi kinachopeleka maji yake katika Mto Ruvuma.

Wananchi wa Kata ya Ruhuwiko wakiongozwa na madiwani wa Manispaa ya Songea  walishiriki kupanda miche ya miti ya asili.Mgeni rasmi katika zoezi hilo alikuwa ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaj Abdul Hassan Mshaweji.

Awali akitoa taarifa ya Idara ya Maliasili Katika Manispaa ya Songea,Mkuu wa Idara hiyo Godfrey Luhimbo alizitaja shughuli za kibinadamu kuwa ndiyo chanzo kikuu cha uharibifu wa mazingira ambapo katika Manispaa ya Songea uharibifu aliutaja kuwa unatokana na uvamizi wa misitu ya hifadhi.

Sababu nyingine alizitaja kuwa ni ukataji miti hovyo kwenye vyanzo vya maji na kwenye misitu ya hifadhi kwa lengo la kuzalisha mazao ya misitu kama vile mkaa,nguzo,kuni na mbao na uwindaji wa wanyama

“Kutokana na uharibifu wa mazingira tunakabiliwa na changamoto nyingi zikiwemo kuongezeka kwa joto la dunia,unyeshaji wa mvua usiokuwa na mpangilio,ukame na maradhi mbalimbali yanayomkabili binadamu’’,alisisitiza.

Katika kukabilina na changamoto hizo ameitaja mikakati inayofanywa na Idara ya Maliasili kuwa ni kutoa elimu,kupanda miti kila mwaka katika maeneo mbalimbali na kufanya doria za mara kwa mara ili kudhibiti uharibifu wa misitu.

Mgeni rasmi Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea akizungumza mara baada ya kushiriki zoezi la upandaji wa miti hiyo,ametoa rai kwa wakazi wa Songea na watanzania kwa ujumla kuhakikisha wanavilinda vyanzo vyote vya maji vilivyopo na kupanda miche ya miti katika vyanzo ili viwe endelevu kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Januari 25,2020

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.