• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MILIONI 256 zilivyojenga barabara wilayani Tunduru

Imewekwa kuanzia tarehe: May 17th, 2024

WANANCHI wa kata ya Mchoteka na Marumba wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma,wameishukuru serikali kwa kukamilisha ujenzi wa barabara inayounganisha vijiji mbalimbali katika kata hizo.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema ,kukamilika kwa barabara ya Mchoteka-Masuguru-Marumba kwa kiwango cha Changarawe kumemaliza changamoto ya muda mrefu ya kukosa mawasiliano kati ya kata hizo mbili na kufungua fursa za kiuchumi kwa wananchi.

Matola Mohamed mkazi wa kijiji cha Masuguru amesema ,uthubutu uliofanywa na Serikali ya awamu ya sita kujenga barabara hiyo ni kati ya mambo mazuri yaliyofanyika katika kipindi cha mwaka mmoja na miezi mitatu cha uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufungua fursa za kiuchumi na maendeleo ya kata hizo na wilaya ya Tunduru kwa ujumla.

Hassan Majongo,ameipongeza serikali kupitia Wakala wa barabara za mjini na vijijini(TARURA) wilaya na mkoa kujenga barabara hiyo kwa viwango vya hali ya juu kwani imesaidia sana kurahisisha mawasiliano na kupungua kwa ugumu ya maisha.

Kwa upande wake Meneja wa TARURA wilaya ya Tunduru Mhandisi Silvanus Ngonyani amesema barabara hiyo ,imejengwa kwa gharama ya Sh.milioni 265 zilizotokana na ongezeko la tozo zilizoasisiwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kiwango cha changarawe kwa km zote 17 na imefunguliwa rasmi baada ya kukamilika.

Amesema ,barabara hiyo ina faida nyingi kwa wakazi wa maeneo hayo kutokana na uzalishaji mkubwa  wa mazao ya chakula na biashara ikiwamo mpunga,mahindi,ufuta na korosho na muhimu kiulinzi wa nchi yetu kwa kuwa kata ya Mchoteka na Marumba zinapatikana na nchi Jirani ya Msumbiji.


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.