• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKATABA mradi wa maji wa bilioni 5.5 wasainiwa Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: November 21st, 2022

SERIKALI kupitia Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA imesaini mkataba wa ujenzi wa mradi wa maji Kata ya Mtyangimbole Halmashauri ya Madaba Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma wenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 5.5.

Hafla ya kusaini mkataba wa ujenzi wa mradi huo unaotekelezwa kwa mwaka mmoja imefanyika katika kijiji cha Mtyangimbole ambapo mgeni rasmi kwenye hafla hiyo alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas aliyewakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Pololet Mgema.

Akizungumza katika hafla hiyo mkuu wa Mkoa amemshukuru Mheshimiwa Rais kwa kuendelea kutoa fedha za kutekeleza miradi mbalimbali mkoani Ruvuma ukiwemo mradi huo wa maji Mtyangimbole.

Amewapongeza wananchi wa Mtysngimbole kuchangia shilingi milioni 19 kwenye mradi huo ambapo sasa serikali imeunga mkono juhudi za wananchi kwa kutoa mabilioni ya fedha kuhakikisha mradi huo unakamilika na kuanza kuwanufaisha wananchi.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa RUWASA Mhandisi  Clement Kivegalo amesema uwepo wa Rais mama hapa nchini umeongeza kiwango cha fedha za kutekeleza miradi ya maji nchini kwa zaidi ya asilimia 90.

“Kama kuna mtu anajua dhamira ya Mheshimiwa Rais kumtua mama ndoo kichwani ni sisi RUWASA kwa hiyo tuna ushahidi wa wazi kabisa wa kifedha unaotuwezesha kutekeleza miradi hii kwa ufanisi mkubwa “alisema Mhandisi Kivegalo.

Naye Meneja wa RUWASA Wilaya ya Songea Mhandisi Mathias Charles amekitaja chanzo cha maji cha Mtyangimbole  kuwa kina uwezo wa kuzalisha maji lita 1,883,562.16 kwa siku ambapo mahitaji ya wananchi ni lita 633,621.16

Mradi wa maji wa Mtyangimbole uliibuliwa na wananchi wa vijiji vya Mtyangimbole,Luhimba na Likalangilo .

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.