• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOA wa Ruvuma hauna mgonjwa wa corona,RC Mndeme apokea misaada zaidi kukabiliana na corona

Imewekwa kuanzia tarehe: May 26th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amesema hadi kufikia Mei 26 mwaka huu katika vituo vyote nane vya kulaza wagonjwa wa corona hakuna mgonjwa hata mmoja.

Mndeme ametoa taarifa hiyo leo, wakati anapokea msaada wa vifaa vya kujikinga na corona kutoka Kampuni ya Mafuta ya Refueling Solutions ambayo imetoa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 10.9.

Amesema vifaa hivyo vitakwenda kutumika katika harakati za mapambano dhidi ya corona kwa sababu ugonjwa huo bado upo nchini na mapambano yanaendelea hadi ugonjwa huo utakatokomezwa kabisa.

“Naomba mtufikishie salama zetu kwa uongozi mzima wa Refueling Solutions,tangu tumeanza kupokea misaada ya vifaa vya kukabiliana na corona hatujawahi kupata msaada mkubwa kama huu tunashukuru sana’’,alisema.

Amesema kitendo cha kutoa msaada huo kimedhihirisha uzalendo wa hali ya juu katika kuunga mkono juhudi za Rais Dkt.John Magufuli  kwenye mapambano ya corona.

Awali akizungumza kabla ya kukabidhi vifaa hivyo,Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Refueling Solutions Ahamad Sweya amevitaja vifaa vilivyotolewa na Kampuni hiyo kuwa ni barokoa boksi 35, vipima joto la mwili (thermal scanner)13,mipira ya kuvaa mikononi (gloves) boksi 15 na mavazi meupe ya watoa huduma 100.

Virusi vya corona ni janga la Dunia kwa kuwa hadi sasa inakadiriwa duniani kote watu zaidi ya milioni tano wameambukizwa corona kati yao watu zaidi ya milioni mbili wamepona na vifo ni zaidi ya laki tatu.

IMEANDIKWA NA ALBANO MIDELO

AFISA HABARI MKOA WA RUVUMA

MEI 26,2020

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.