• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOA wa Ruvuma kudhibiti magonjwa ya mifugo

Imewekwa kuanzia tarehe: September 1st, 2022


Mkoa wa Ruvuma unaendelea kutoa udhibiti wa magonjwa kwa mifugo ikiwemo ng'ombe ,mbuzi ,kuku na mbwa.

Naye Afisa mifugo mkoa wa Ruvuma Nelson William, ameleeza mwezi Julai 2020 hadi machi 2021 magonjwa yaliyo jitokeza zaidi ni Ndigana kali,Ndigana baridi,Homa ya mapafu kwa ng'ombe na mbuzi,ugonjwa wa mapele ngozi,kideri na homa ya matumbo kwa kuku na ndui

"Ng'ombe wamepatiwa chanjo dhidi ya homa ya mapafu(CBPP), ng'ombe 500 dhidi ya ugonjwa wa midomo na miguu,50 dhidi ya ugonjwa wa Ndigana kali,157 dhidi ya ugonjwa wa kutupa mimba(Brucellosis) Mbuzi 1567 dhidi ya homa ya mapafu(CPPP) mbwa 6787 wamepewa chanjo ya ugonjwa wa kichaa cha mbwa (Rabies) kuku 323,624 dhidi ya ugonjwa wa kideri,10606 dhidi ya ugonjwa wa ndui na 2386 dhidi ya ugonjwa wa Gumboro" alisema william.

Aidha ,alisema katika utekelezaji wa zoezi la uogeshaji wa mifugo michovyo 5,929 ya uogeshaji hufanyika kwa wiki sawa na michovyo 23,818 kwa mwezi ni sawa na michovyo 213,467 kwa kipindi cha mwezi Julai 2020 hadi Disemba 2021

alisema Matokeo ya uogeshaji Mkoa wa Ruvuma ni kupungua kwa vifo vya mifugo vitokanavyo na magonjwa yaenezwayo na kupe na Ndorobo.

"kwa sasa Mkoa unatekeleza ujenzi wa majosho 15 ,katika Halmashauri za Tunduru majosho 9, Songea DC majosho 5 na Nyasa josho moja" Alisema william

 

Hata hivyo Mkoa umeendelea kuhimiza Halmashauri kuweka mikakati ya kujenga majosho mapya kupitia mapato ya ndani.

William amesema pamoja na jitihada hizi katika zoezi la uogeshaji mifugo kuna changamoto ambazo ni pamoja na uchache wa mifugo inayiogeshwa kwa majosho mengi hivyo kupelekea ugumu wa uendeshaji wa majosho .

Imeandaliwa na Janeth Ndunguru

Kitengo cha mawasiliano 

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Ruvuma

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.