• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RUVUMA yafaulisha kidato cha sita kwa asilimia 99.9

Imewekwa kuanzia tarehe: September 12th, 2022

MKOA wa Ruvuma Ufaulu wa kidato cha nne  Mwaka 2020 /2021  umeongezeka  kutoka asilimia 86.06 hadi kufikia asilimia 90.1.

Akitoa Taarifa hiyo Afisa Elimu Mkoa wa Ruvuma Hakimu Mafuru amesema Mkoa unajumla ya Shule za Sekondari 218 zikiwemo 160 za Serikali na 58 ni Shule binafsi.

Amesema kati ya Shule hizo 160 za Serikali Shule tano ni za bweni na Shule 155 ni za kutwa kati ya Shule hizo zenye kidato cha Tano na Sita ni 35 za Serikali 23 na zisizo za Serikali 12.

Hata hivyo amesema hadi kufikia Machi 2022 mahitaji ya Walimu wa Shule za Sekondari ilikuwa 4,0441 wliokuwepo ni 3,523 na upungufu ulikuwa 518.

“Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Juni 2022 ilitoa ajira kwa Walimu katika Mikoa yote ya Tanzania Mkoa wa Ruvuma Ulipangia jumla ya walimu 389”.

Amesema  walimu hao walikuwa wanaume 279 na wanaume 110 kwa Shule za Msingi na Sekondari na walimu 213 walipangiwa katika Shule za Sekondari ambapo kati ya hao Walimu 212 walipangiwa katika Shule za Msingi na wamekwisha kulipo katika Shule walizopangiwa.

Afisa Elimu amesema hali ya Ufaulu kwa kidato cha nne Mkoa wa Ruvuma kitaaluma unaendelea kufanya jitihada za makusudi ili kuweza kupata matokeo mazuri Mwaka 2020 Mkoa ulikuwa na ufaulu wa asilimia 89.4 na Mwaka 2022 Mkoa umefaulu kwa asilimia 90.1.

Amesema Ufaulu kidato cha Sita Mwaka 2022 Mkoa umeendelea kufanya jitihada kuboresha ufaulu wa Wanafunzi katika Matokea katika kidato cha Sita na kufikia wastani wa asilimilia 99.9.

“Matokea ya Mtihani wa Kidato cha Sita kwa Mwaka 2018 hadi 2022 walifaulu kwa asilimi 99.7 hadi asilimia 100”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Septemba 12,2022.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.