• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOA wa Ruvuma mahali sahihi kwa uwekezaji

Imewekwa kuanzia tarehe: April 15th, 2025

Katika ulimwengu unaokimbia kwa kasi ya kiteknolojia, mwekezaji wa kisasa anatafuta zaidi ya ardhi na watu – anatafuta mazingira rafiki kwa biashara, fursa halisi zenye faida, na uthabiti wa miundombinu.

Mkoa wa Ruvuma, uliopo kusini mwa Tanzania, umeibuka kama eneo  endelevu kwa uwekezaji wa kimkakati.

Kilimo – Sekta Isiyoisha Mvuto

Ruvuma ni “powerhouse” ya kilimo. Ardhi yake kubwa na yenye rutuba ina uwezo wa kuzalisha kila aina ya mazao – ya chakula kama mahindi, mpunga, maharage 

Mazao ya biashara kama kahawa, korosho, na miwa. Zaidi ya hekta 197,000 zinafaa kwa umwagiliaji, lakini ni asilimia 3.7 tu iliyoendelezwa.

Hii ni nafasi ya dhahabu kwa kampuni au mwekezaji anayetafuta kujenga miradi ya kilimo cha umwagiliaji au greenhouse farming kwa soko la ndani na la nje.

Halmashauri nane za mkoa wa Ruvuma zimetenga zaidi ya ekari 57,000 kwa ajili ya kilimo cha pamoja. Hii ni platform nzuri kwa wawekezaji wanaotafuta kushirikiana na wakulima wadogo kupitia mnyororo wa thamani

Rasilimali Asilia – Madini, Misitu, Wanyama pori

Ruvuma ni hazina ya madini kama makaa ya mawe, dhahabu na madini mengine adimu. Pia ina misitu mikubwa ya asili inayoweza kutumika kwa viwanda vya mbao na karatasi.

Kwa upande wa utalii wa ikolojia na uwindaji wa kitalii, maeneo mengi yanatoa fursa kwa uwekezaji wa hifadhi na nyumba za wageni.

Miundombinu ya Barabara

Kwa mwekezaji yeyote, miundombinu ni kipimo cha utayari wa eneo. Ruvuma imeunganishwa kwa kiwango cha lami ndani ya mkoa na na mikoa jirani. Hii inamaanisha bidhaa zako zinaweza kufika sokoni kwa haraka – iwe ni Songea, Mbeya, Mtwara au hata Dar es Salaam.

Kwa Nini Ruvuma?

Kwa sababu ina ardhi. Ina mvua. Ina watu. Ina barabara. Ina madini. Ina bandari. Ina kila sababu ya mwekezaji kufanikiwa.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.