• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOA wa Ruvuma waenda sawa na kasi ya Rais samia

Imewekwa kuanzia tarehe: March 20th, 2023

Mkoa wa Ruvuma wafurahishwa na kasi ya utelezwaji wa miradi ya maendeleo ambayo inatekelezwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan. Katika miaka yake miwili tangu aingie madarakani

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas ameeleza kuwa Mkoa wa Ruvuma haujachwa nyuma katika kupewa miradi mikubwa ya maendeleo ambapo  tangu Rais samia aingie madarakani ametoa fedha kila sekta kwa lengo la tutatua changamoto mbalimbali  kwa wananchi

“Namshukuru Rais Samia kwa kuhakikisha Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma wanakuwa sehemu bora ya kuboreshewa huduma mbalimbali za kimaendeleo sote ni mashahidi tumoena akitoa fedha katika sekta ya Afya, Barabara, Maji, Elimu na Kilimo.”

Pia Kanali Thomas amesema Mkoa wa Ruvuma ni wazalishaji wakubwa wa chakula kwani kwa msimu wa 22/23 Mkoa umepokea tani 65,000 za mbolea kati ya tani 67,000 zinazotarajiwa

Hata hivyo ameeleza kwa upande wa sekta ya maji Mkoa umepokea pesa nyingi za ujenzi wa miradi ya maji ambapo kwa msimu wa 22/23 Mkoa unaendelea kutekeleza miradi 33 yenye thamani ya shilingi bilioni 51.2. amesema miradi hiyo ikikamlika itakuwa unahudumia wananchi wapatao 264,000 na Vijiji 81.

Aidha, katika miaka miliwi ya Rais samia Serikali imetoa bilioni 3.2 kujenga vyumba vya Madarasa 156 katika Shule za sekondari mkoani Ruvuma vili vile na sekta ya Afya ameweza kuongeza mradi wa vituo vya Afya katika Halmashauri zote na baadhi yake vimeshanza kutoa huduma kwa Wananchi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.