• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOA wa Ruvuma wafaulisha kidato cha sita kwa asilimia 98

Imewekwa kuanzia tarehe: January 15th, 2021

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme  amewapongeza wadau wa elimu katika Mkoa kwa kuwezesha ufaulu mzuri wa asilimia 98.68 katika matokeo ya kidato cha sita  kitaifa mwaka 2020.

Mndeme ametoa pongezi hizo wakati anafungua Kikao cha Kamati ya Ushauri cha Mkoa wa Ruvuma kilichofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea mjini Songea.

 Ameyataja matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka 2020 katika Mkoa wa Ruvuma,yanaonesha kuwa ufaulu ulikuwa kwa asilimia 78.52 na ufaulu wa mwaka 2019 ulikuwa ni asilimia 85.70 hivyo ameagiza kuongeza jitihada za kuongeza ufaulu.

“Hata hivyo Naipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Songea kwa kufaulisha darasa la saba kwa asilimia 85.51.Aidha Halmashauri ya Wilaya ya Songea inatakiwa kuongeza juhudi ili kupandisha ufaulu zaidi kwani matokeo yanaonesha wamefaulisha kwa asilimia 66.68’’,alisisitiza Mndeme.

Hata hivyo Mndeme amesema miundombinu kwa ajili ya Wanafunzi wa kidato kwanza 2021,inaonesha kuwa hadi kufikia Novemba 2020 kulikuwa na upungufu wa vyumba 43 kwaajili ya kidato cha kwanza mwaka 2021.

“Nimetoa maelekezo kwa Halmashauri zote kuhakikisha wanafunzi wote waliofaulu wanaanza masomo Januari 2021,Tumejipanga vizuri hakuna mtoto atakaebaki nyumbani kwa kukosa nafasi na Mkoa wetu ni kati ya Mikoa 9 nchini ambayo wanafunzi wote waliochaguliwa kuanza kidato cha kwanza watapata nafasi’’,alisema.

Hata hivyo Mndeme  amesema Mkoa unatekeleza Kampeni ya Magauni manne chini ya Kaulimbiu ya Niache Nisome,ambapo Serikali ya Mkoa wa Ruvuma kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa Elimu inapambana na kuhakikisha inaondoa vikwazo vinavyosababisha wanafunzi wa kike kushindwa kuhudhuria masomo.na kumaliza.

Amevitaja vikwazo hivyo kuwa ni  Mimba za utotoni hali inayosababisha wanafunzi wakatishe masomo na kufifisha ndoto zao.

Katika kupambana na kikwazo cha mimba za utotoni,Mndeme amesema Mkoa kupitia Halmashauri zake umejenga Shule za wasichana  pamoja na kujenga Hosteli kwa shule za kutwa ili kuwasaidia wanafunzi wa kike kuepuka vikwazo hivyo.

Amezitaja shule hizo kuwa zimejengwa katika Halmashauri zote za Mkoa wa Ruvuma isipokuwa Halmashauri ya Madaba ambapo Kamati ya Ushauri ya Mkoa imeona umuhimu wa kujenga Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa katika Halmashauri ya Madaba itakayo chukua wanafunzi kutoka maeneo yote ya Mkoa.

Imeandaliwa Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Januari 14,2021

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.