• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKURUGENZI Nyasa alivyopiga kura kutimiza haki yake ya msingi

Imewekwa kuanzia tarehe: November 28th, 2024

Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Nyasa  ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma  Bw.Khalid Khalif akipiga kura ya kuchagua viongozi wa serikali za mitaa katika  kituo cha Kilosa Kati,Kata ya Kilosa wilayani Nyasa                  

Wakati huo huo Msimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Wilaya ya Nyasa Bw. Khalid Khalif amewashukuru na kuwapongeza wananchi wa Wilaya ya Nyasa kwa kukamilisha zoezi la upigaji kura kwa amani na utulivu.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi ofisini kwake amesema zoezi la upigaji kura limekamilika salama kinachoendelea kwa sasa ni kuhesabu kura na kutoa matokeo .

Bw Khalif amefafanua kuwa zoezi la kupiga kura kuchagua Viongozi wa Serikali za Mitaa limeanza saa Mbili kamili asubuhi Tarehe 27/11/2024na kukamilika saa 10 jioni, na kwa sasa Zoezi linaloendelea ni kuhesabu kura.

 “Wananchi wameendesha zoezi hili kwa amani na utulivu na kila eneo liko shwari hivyo nichukue fursa hii kuwapongeza sana wananchi wa Wilaya ya Nyasa kwa kuendesha shughUli hii kwa amani na      Utulivu”

Kwa upande wao wananchi waliofanya mahojiano wakiwemo mawakala wa Chama cha CCM , Chadema Act wazalendo na wananchi wa kawaida wamesema wameridhishwa na mwenendo mzima wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na wanachosubiri kwa sasa ni matokeo ambayo yatawapa viongozi bora ambao wamewachagua.


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.