• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma atoa maagizo kwa Kamati za kudhibiti UKIMIWI Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: April 13th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amezitaka kamati za kudhibiti na kuzuia maambukizi ya virusi vya UKIMWI mkoani Ruvuma  kuhakikisha wanatokemeza maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI.

Mndeme ametoa maagizo hayo wakati amefanya ziara ya siku moja wilayani Namtumbo a mbapo amesisitiza waendelee kutoa elimu ili kuweza kupambana na virusi vya ukimwi  na kufikia malengo yaliyowekwa na serikali.

“Kamati ya UKIMWI  ijitahidi kutoa elimu kwa watoto,vijana na watu wazima huko majumbani kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya ukimwi.”Amesema Mndeme.

 Mratibu wa  Kudhibiti UKIMWI wilaya ya Namtumbo Fidelis Mkini,amesema  katika kipindi cha mwaka 2019 jumla ya watu 45,076 walipimwa  kati yao waliogundulika kuwa na maambukizi  ni 587 na kwamba maambukizi yamepungua kutoka asilimia mbili ya mwaka 2018 mpaka asilimia moja kwa mwaka 2020.

 Muguzi Mkunga  katika kituo cha afya  Namtumbo Evarister Ngailo amesema wateja wakifika katika kituo hicho wanapimwa wakikutwa na maambukizi ya vvu wanawaanzishia huduma endelevu ambazo ni dawa za ARV na kumfatilia mteja ndani ya siku 14.

Godwin Rutta Kaimu Mganga Mkuu Wilaya ya Namtumbo,amesema katika kituo kipya  wameanza kutoa huduma za upasuaji ambapo hadi sasa wamefanikiwa kuwafanyia upasuaji wagojwa 125 ambao wote wamefanyiwa upasuaji bila kupata changamoto zozote.

Imeandikwa na Farida Musa

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru 2025 waikubali miradi yote Mbinga

    May 12, 2025
  • WANANCHI walivyojitokeza kuupokea mwenge wa Uhuru katika kijiji cha Maguu Mbinga

    May 11, 2025
  • MAHABA ya wananchi wa Mbuji wilayani Mbinga kwa Mwenge wa Uhuru 2025

    May 11, 2025
  • MBUNGE Kawawa aleta neema Namtumbo

    May 11, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.