• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma awaagiza SUMA JKT kuongeza kasi ujenzi jengo la DED Mbinga

Imewekwa kuanzia tarehe: September 21st, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas ameuagiza uongozi wa  SUMA JKT  kuongeza wafanyakazi ili kukamilisha ujenzi wa jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ambapo hadi sasa ujenzi umefikia asilimia 50.

Kanali Thomas ametoa agizo hilo baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ambalo serikali imetoia shilingi bilioni tatu kutekeleza mradi huo ambapo hadi sasa zimetumika zaidi ya shilingi bilioni mbili kutekeleza mradi huo ambao unatarajia kutumia shilingi bilioni tano hadi kukamilika kwake.

Amesema Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anajitahidi kutoa mabilioni ya fedha za kutekeleza miradi mbalimbali nchini,hata hivyo usimamizi wa miradi usiokuwa na tija unachelewesha baadhi ya miradi kuchelewa hivyo amewaagiza madiwani katika Halmashauri  zote kusimamia kikamilifu miradi yote ya maendeleo a,mbayo haijakamilika kwa muda mrefu  ili iweze kukamilika kwa tija na ubora unaolingana na thamani ya fedha..

Akitoa taarifa ya ujenzi huo kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mheshimiwa Aziza Mangasongo alisema ujenzi wa mradi huo unatarajia kukamilika kwa asilimia 100 Machi mwakani ambap ameitaja changamoto kubwa inayochelewesha mradi huo kukamilika ni Mkandarasi wa ujenzi kuwa na idadi ndogo ya wafanyakazi wanaotekeleza mradi huo hali ambayo imechelewesha mradi kukamilika ndani ya mkataba. hivyo ametoa wito kwa SUMA JKT  kuongeza idadi ya watumishi ili kukamilisha ujenzi wa jengo hilo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.