• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma azindua tawi la 260 la CRDB Tunduru

Imewekwa kuanzia tarehe: February 21st, 2024

Na Albano Midelo,Tunduru

MKuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amezindua tawi jipya la Benki ya CRDB Tunduru hivyo kuwa ni tawi la 260 la benki hiyo nchini.

Akizungumza kabla ya kuzindua tawi hilo,Kanali Thomas  amesema kuzinduliwa kwa tawi hilo kunasogeza huduma za kibenki jirani na wananchi Pamoja na kufungua fursa za kuchumi kwa wajasirimali.

Amesisitiza kuwa uzinduzi wa tawi hilo utawawezesha wananchi kupata huduma zenye hadhi za kimataifa na kuisaidia jamii kupambana na umasikini.

“Fedha ni kichocheo muhimu cha maendeleo ya taifa lolote hivyo basi ukuaji wa sekta ya Benki ni muhimu sana katika kukuza Uchumi na kupunguza umaskini’’,alisisitiza RC Thomas.

Ameongeza kuwa sekta hiyo ina uwezo mkubwa wa kuwafikia na kuwahudumia wateja wengi wa mijini na vijijini ambapo amewaasa wananchi kutambua umuhimu wa kutumia huduma zao kwa maendeleo binafsi na Taifa kwa ujumla.

Ameiomba benki ya CRDB kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kutumia huduma za benki ili waweze kuweka akiba,kukopa na kurejesha mikopo kwa wakati.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Wateja Wadogo kutoka CRDB Makao makuu Boniventure Paulo akizungumza kabla ya uzinduzi huo amesema  CRBD inatoa mikopo ya  aina zote na kwamba benki hiyo ni kimbilio la wakulima.

Amesema hadi sasa Benki ya CRDB inaongoza  kwa kuwa na idadi kubwa ya wakulima ambao wamekopeshwa na kwamba wakulima wa Wilaya ya Tunduru watanufaika na Benki hiyo.

Amesisitiza kuwa wakulima na wateja wengine  kuweka akiba CRDB hali itakayosaidia usalama wa fedha zao ambapo amewatahadharisha wananchi kuacha kuweka fedha nyumbani na kusababisha upotevu kutokana na uvamizi wa majambazi au wezi  hivyo kuhatarisha usalama wa Maisha.

Amewashauri wafanyabiashara,wajasirimali, wafanyakazi na wananchi wengine kuzitumia fursa zilizopo wilayani Tunduru kukuza kipato chao ambapo amesisitiza uwezeshaji wa vijana na wanawake ni jambo ambalo litapewa kipaumbele kwenye benki hiyo.

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.