• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKUU wa Wilaya ya Mbinga akagua mradi wa maji Maguu

Imewekwa kuanzia tarehe: September 13th, 2023

Mkuu wa Wilaya Mbinga Mheshimiwa Aziza Mangosongo alifanya ziara ya kukagua mradi wa maji, shule ya watoto wenye mahitaji maalamu pamoja na kutembelea chama cha msingi cha ushirika cha Kigoti kilichopo kata ya maguu, Halmashauri ya Wilaya ya mbinga.

"Niwapongeze waliotoa maeneo ili kuruhusu uwekezaji huu ufanyike ili wananchi waweze kupata huduma ya maji na watoto wenye mahitaji maalamu waweze kusoma katika mazingira rafiki na karibu zaidi, Hivyo basi ni wajibu wetu wazazi kuhakikisha wanapata elimu badala ya kuwaficha nyumbani kusudi"

Sambamba na hilo alipokea taarifa kutoka kwa Meneja Ruwasa wilaya ya Mbinga na Mtendaji wa kata ya Maguu kuhusu miradi hiyo, Ambapo mradi wa maji utagharimu zaidi ya tshs milioni 700 na utahudumia zaidi ya watu elfu 16 na unatarajiwa kukamilika mwezi wa kumi na moja mwaka huu.

Alikadhalika mradi wa shule ya msingi ya watoto wenye mahitaji maalamu umegharimu kiasi cha zaidi tshs milioni 200 ambapo fedha hizo zimetumika kujenga bweni moja na majengo 2 ya madarasa na matundu ya vyoo.

Aidha, baada ya kupokea taarifa na kufanya ukaguzi wa kina wa miradi hiyo Mhe. Mangosongo aliagiza dosari na changamoto zote zilizopo zifanyiwe marekebisho ili miradi ikamilike kwa wakati na iendane na thamani halisi ya fedha zinazotolewa na serikali.

Vilevile, Aliwataka kupima maeneo yote ya miradi ili kuepuka migogoro pindi ikikamilika, Pia alimtaka Meneja Tanesco wilaya kupeleka huduma ya umeme shuleni, sambamba na hilo aliwataka wananchi kushiriki kikamilifu shughuli za maendeleo na kutoa taarifa za kuibiwa kwa vifaa wakati wa utekelezaji.

Mwisho, Alitembelea kigoti AMCOS ambapo aliwataka kuhamasisha wananchi kusajili ili waweze kupata pembejeo za kilimo, Vilevile aliwataka kuongeza uzalishaji wa zao la kahawa sambamba na kuongeza wanachama pamoja na kuepuka migogoro isiyo na tija.



Sambamba na hilo alipokea taarifa kutoka kwa Meneja Ruwasa wilaya ya Mbinga na Mtendaji wa kata ya Maguu kuhusu miradi hiyo, Ambapo mradi wa maji utagharimu zaidi ya tshs milioni 700 na utahudumia zaidi ya watu elfu 16 na unatarajiwa kukamilika mwezi wa kumi na moja mwaka huu.

Alikadhalika mradi wa shule ya msingi ya watoto wenye mahitaji maalamu umegharimu kiasi cha zaidi tshs milioni 200 ambapo fedha hizo zimetumika kujenga bweni moja na majengo 2 ya madarasa na matundu ya vyoo.

Aidha, baada ya kupokea taarifa na kufanya ukaguzi wa kina wa miradi hiyo Mhe. Mangosongo aliagiza dosari na changamoto zote zilizopo zifanyiwe marekebisho ili miradi ikamilike kwa wakati na iendane na thamani halisi ya fedha zinazotolewa na serikali.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.