• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MRADI wa lishe kwa watoto wa kike kuanza Ruvuma Oktoba mwaka huu

Imewekwa kuanzia tarehe: August 17th, 2020


MENEJA wa sikauti wa kike wa Lishe Tanzania David Mbamila amesema mradi wa lishe kwa watoto wa kike mkoani Ruvuma unatarajia kuanza hivi karibuni.

Mbamila amelitaja lengo la mradi huo ni kufanya mafunzo  kwa walimu wa mkoa wa Ruvuma  ili kutekeleza elimu ya  lishe kwa watoto wa kike kuanzia miaka sita hadi 18.

Mbamila amesema mradi huo utaanza kutekelezwa kuanzia mwezi Oktoba na Novemba 2020 kwa kutumia shule na walimu kwa lengo la kutoa elimu ya lishe kwa mtoto wa kike  ambaye anakabiliwa na changamoto ya kupoteza damu nyingi wakati wa hedhi katika mzunguko wa kila mwezi.

Katibu wa Chama cha Maskauti wa Kike Taifa (Girl Guides association Tanzania) Bupe Minga ametoa mafunzo ya lishe bora kwa walimu wa shule za Sekondari na Msingi wa Mkoa wa Ruvuma.

Akizungumza katika mafunzo hayo yaliyofanyika katika  ukumbi wa sekondari ya Songea Girls,Minga amesema chama hicho cha maskauti wa kike Tanzania kimefungua matawi katika mikoa 23 ikiwemo Ruvuma.

Amesema kupitia mafunzo hayo kamati ya uongozi Taifa Inatarajia kutoa uhamasishaji  kwa skauti wa kike kufahamu lishe bora kwa mtoto wa kike.

Amesema Mkoa wa Ruvuma ambao unaoongoza kwa uzalishaji wa chakula nchini  utavuma katika uelekeo wa sikauti kwa mtoto wa kike kupata chakula bora kupitia  mfumo wa sikauti kwa mtoto wa kike

Mgeni rasmi katika mafunzo hayo Afisa Elimu Mkoa wa Ruvuma Emmanuel Kisongo  amewaagiza walimu hao kuhakikisha kuwa kila shule iwe na sikauti ya wasichana(Girl Guides) kwa sababu watoto wa kike ni lulu katika jamii.

“Watoto wa kike wamebeba moyo mkubwa kuleta ukombozi na amani  dunia wakati wote  na mpambanaji mkubwa ndio maana  Serikali inamtumia  hata usalama wa nchi unategemea girl Guides hawawezi kusaliti nchi”,alisisitiza.

Kisongo amesema Walimu wanayokazi ya kuhakikisha wanafunzi  wanajitambua na kuhakikisha  wanakuwa salama kiafya  hata katika Lishe bora na kielimu kwa .sababu mtoto wa kike ni ukombozi na matokeo salama.

Kamishna wa masikauti wa kike mkoa wa Ruvuma  Stella Sangu, amesema  amefarijika katika elimu ya Lishe kwa mtoto wa kike ambapo amesisitiza kuwa ukimuelimisha mtoto wa kike umeelimisha jamii nzima.

Imeandaliwa na Aneth ndonde

Ofisi ya habari mkoa wa Ruvuma 

17 August 2020

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.