• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MRADI wa nyumba saba za watumishi Madaba kukamilika hivi karibuni

Imewekwa kuanzia tarehe: April 17th, 2021

MKUU wa Wilaya ya Songea Pololeti  Mgema ametembelea miradi inayotekelezwa   Halmashauri ya Madaba ikiwemo nyumba ya Kuishi  Mkurugenzi pamoja na nyumba sita za watumishi.

Mgema amesema serikali imetoa shilingi bilioni tatu na milioni miasaba hamsini kwaajili ya kujenga  ofisi ya Mkurugenzi kwa mara ya kwanza ilijengwa na TBA ,baadaye ilijengwa kwa force account  na kuokoa shilingi milioni miasaba hamsini na kuelekezwa kujenga nyumba za watumishi

“Baada ya kutembelea miradi hii nichukue nafasi hii kumpongeza Mkurugenzi Mtendaji pamoja na wakuu wa idara kwa kusimamia kazi hii vizuri, imefanyika kwa viwango na kwa mda mfupi ,na tumetumia milioni 270 katika nyumba ya Mkurugenzi na imefikia hatua za mwisho na milioni 350 ambazo zimetengwa katika ujenzi wa nyumba ya Mkurungenzi  itaokoa kiasi Fulani  cha  fedha na zitatumika kwaajili ya kununulia vifaa vya ndani”.

Afisa Mipango wa Halmashauri hiyo Mwandishi Nchimbi amesema nyumba 6  za watumishi zimeghalimu shilingi  milioni 300 kila nyumba milioni 50 na hatua iliyofikia ni nzuri na kila jengo linalojengwa tunatengemea kuokoa kiasi cha  fedha na kusaidia kuweka  samani za ndani  za nyumba hizo.

Hata hivyo Nchimbi amesema miradi hiyo imefikia hatua ya umaliziaji na chanzo cha fedha hizo za ujenzi wa nyumba za watumishi ,fedha zilizobaki kutoka katika unjenzi wa jengo la Ofisi ya Mkurugenzi iliyojengwa kwa shilingi bilioni 2.9.

Kwa upande wake Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri hiyo Shafi Kassim Mpenda amesema Halmashauri hiyo ni changa na uwepo wa nyumba hizo zitatatua changamoto ya Makazi ya watumishi na kuongeza ufanisi katika utumishi.

Hata hivyo amesema eneo hilo limetengwa kwaajili ya ujenzi wa nyumba za watumishi na kwasasa Halmashauri imepata  nyumba za kuanzia 6 na tunategemea kujenga zingine ili wafanyakazi wapate mahali pazuri pakuishi.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Afisa Habari Halmashauri ya Madaba

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.