• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MWANAFUNZI mwenye ulemavu Mbinga apigwa jeki

Imewekwa kuanzia tarehe: January 21st, 2024

Mtoto Baraka Nicolaus Mbunda (12) mwenye ulemavu wa viungo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma amekabidhiwa amekabidhiwa vifaa vitakavyomsaidia kutokana na changamoto alizonazo.

Baraka ambaye ni mwanafunzi wa darasa la pili  katika shule ya msingi Huruma amekabidhiwa vifaa  kiti mwendo na vifaa vingine na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mheshimiwa Desderius Haule alifanya ziara katika shule hiyo kwa lengo la kujionea hali halisi ya changamoto zinazomkabili mwanafunzi huyo.

Licha ya kukabidhi kiti mwendo Mwenyekiti huyo wa Halmashauri pia alimkabidhi mwanafunzi huyo kiti maalum kitakamchosaidia mwanafunzi huyo wakati wa kupata haja kubwa na ndogo ikiwa ni hatua za awali zilizochukuliwa na Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga katika kumpunguzia adha na changamoto mtoto huyo kutokana na hali ya ulemavu aliyonayo.

Akizungumza baada ya kukabidhi vifaa hivyo  Haule amebainisha kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga itaendelea kufuatilia kwa ukaribu maendeleo ya mtoto Baraka na kwamba kuna jitihada mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa ili kuwafikia watoto wengi zaidi wenye mahitaji maalum katika Halmashauri hiyo.

“Halmashauri itafanya kila kitakachowezekana kuhakikisha mtoto Baraka anasoma na kufikia ndoto zake pia Halmashauri inajenga shule ya Watoto wenye mahitaji maalum katika Kata ya Maguu ili kuhakikisha Watoto wenye ulemavu wanapata fursa ya kupata elimu’’.alisisitiza Haule.

Mwenyekiti huyo pia ametoa wito kwa wazazi na  na jamii kwa ujumla kutowaficha watoto wenye ulemavu na kwamba wanatakiwa kuthaminiwa na kupewa haki ya kupata elimu kama watoto wengine.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.