• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

NIACHE nisome kwanza

Imewekwa kuanzia tarehe: June 15th, 2020

Matatizo ya mimba za utotoni hapa nchini yamekuwa yanaongezeka mwaka hadi mwaka hali ambayo inaathiri wanafunzi katika shule za msingi na sekondari.

Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS) inaitaja mikoa inayoongoza kwa kiwango kikubwa cha mimba za utotoni  kuwa ni mkoa wa Shinyanga unaongoza kwa asilimia 59,Tabora asilimia 58,Mara 55,Dodoma 51 na Lindi asilimia 48.

Mikoa mingine ni Mbeya asilimia 45,Singida asilimia 42,Rukwa asilimia 40,Ruvuma asilimia 39,Tanga asilimia,29,Arusha asilimia 27,Kilimanjaro asilimia 27, Kigoma asilimia 20,Dar es salaam asilimia 19 na Iringa asilimia nane.

Mkoa wa Dodoma umetajwa kuwa miongoni mwa mikoa inayoongoza kwa mimba na ndoa za utotoni ambapo asilimia 51 ya wasichana wenye miaka kati ya miaka 20  hadi 22 wameolewa kabla ya kufikia umri wa miaka 18 mkoani humo, ukilinganisha na asilimia 37 ya kitaifa kwa mujibu wa takwimu.

Kwa mujibu wa takwimu hizo kati ya watoto 100, watoto 51 wanaoolewa kabla ya kufikia miaka 18 katika mkoa wa Dodoma ambapo watoto wanaozaa wakiwa na umri mdogo ni asilimia 39.

Mkoa wa Dodoma umezindua kampeni ya kupambana na ndoa na mimba za utotoni ili kufikia malengo ya kumkomboa mtoto wa kike na kumuweka katika mazingira salama ya kumuwezesha kufikia ndoto zake badala ya kukatizwa na mimba za utotoni.

Mkakati unaotumiwa hivi sasa ni ule unaojulikana kama magauni manne ambayo ni mtoto wa kike kuwa ndani ya sare ya shule, gauni la pili ni la kuhitimu masomo,gauni la tatu ni la harusi na gauni la nne ni la kuvaa wakati wa ujauzito ambapo mtoto wa kike aatakuwa ametimiza ndoto zake.

Ukiacha Mkoa wa Dodoma,katika mwaka mmoja uliopita wa 2016/2017 Mkoa wa Tabora ulikuwa na jumla ya mimba za utotoni 800 hali iliyosababisha mkoa huo kuwa miongoni mwa mikoa mitatu nchini inayoongoza kwa mimba za utotoni.

Kukithiri kwa vitendo vya mimba za utotoni kumesababisha Rais Dk.John Magufuli kutoa agizo la wanafunzi wote katika shule za msingi na sekondari ambao watapata mimba hawataruhusiwa kuendelea na masomo.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.