• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

NMB yaipiga jeki sekondari ya Madaba Ruvuma samani za milioni tano

Imewekwa kuanzia tarehe: September 27th, 2020

BENKI ya NMB imetoa msaada wa samani  70 kwa shule ya sekondari Madaba  wilayani Songea mkoani Ruvuma zenye thamani ya shilingi milioni tano

Akizungumza katika hafla ya kutoa samani hizo iliyofanyika mjini Madaba Kaimu Meneja wa NMB Kanda ya Kusini Daniel Zake amesema Benki hiyo imetoa msaada huo Ikiwa ni sehemu ya kurudisha sehemu ya faida kwenye jamii.

Zake amezitaja samani zilizotolewa na NMB kuwa katika sekondari hiyo kuwa ni viti 50,meza 10 na makabati 10 na kwamba vifaa hivyo vitasaidia kuchangia ufaulu wa wanafunzi katika shule hiyo.

“Ni kawaida ya  NMB kurudisha sehemu ya faida wanayoipata kwa jamii kwa kusaidia mambo mbalimbali yanayoizunguka jamii na leo tumeamua kutoa msaada huo katika sekta ya elimu na kupitia msaada wa vifaa hivi’’,alisema Zake.

Hata hivyo Kaimu Meneja huyo wa NMB Kanda ya Kusini ametoa rai kwa wanafunzi wa sekondari hiyo kuhakikisha elimu wanayoipata iweze kuwasaidia kujiajiri na kuweza kutengeneza ajira kwa watu wengine badala ya kutegemea kuajiriwa.

Akizungumza katika hafla hiyo mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Mgema ameishukuru Benki ya NMB kwa msada huo ambao amesema imekuwa ni kawaida na utaratibu waliouweka wa kurudisha faida kwa jamii.

Mgema amewataka wanafunzi wa shule hiyo kutimiza wajibu wao wa kusoma  kwa sababu serikali imejitahidi kujenga miundombinu ili wanafunzi waweze kupata elimu bora katika mazingira rafiki yanayovutia wanafunzi.

Nao baadhi ya wanafunzi wa  sekondari wameishukuru benki  ya NMB kwa kuwaletea vifaa hivyo na wameahidi kupitia vifaa hivyo wana uhakika wa kufanya vizuri katika masomo yao.

NMB ni miongoni mwa Benki zinazoongoza kwa wigo wa huduma za kibenki hapa nchini,ikiwa na matawi 228,mawakala zaidi ya 6,800,mashine za ATM zaidi ya 800,ikiwa na huduma za kibenki kwa njia ya mtandao,kituo cha huduma kwa wateja na vituo vya biashara.

Imeandikwa na Albano Midelo

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.