• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

NMB yashusha neema kwa walimu,yaja na MWALIMU SPESHO

Imewekwa kuanzia tarehe: July 29th, 2024

Na Gustaph Swai-RS Ruvuma

 Benki ya NMB imeandaa Semina ambayo imehusisha utoaji wa mafunzo na fursa mbalimbali kwa Walimu wa Kanda ya Kusini yaliyofanyika  Katika ukumbi wa Chandamali Uliyopo  Mahenge Manispaa ya Songea.

Akizungumza kwenye semina hiyo,Meneja wa NMB Kanda ya Kusini Faraja Raphael amesema,walimu ni wadau  wakubwa katika biashara na kwamba wana mchango mkubwa katika Benki ya NMB.

“Tunathamini mchango wao mkubwa kwetu NMB, tumeona tuje na Masuluhisho ambayo yataenda kuwasaidia Walimu, Tunajua wanafanya shughuli mbalimbali nje ya ajira hivyo tumeona tuwawezeshe katika shughuli hizo wanazozifanya na tumeamua kuja na Mwalimu Spesho" amesema  Faraja.

Amesisitiza kuwa semina hiyo elekezi imelenga kuboresha ustawi wa watumishi hususani walimu na kuunga Mkono juhudi za Serikali za kuboresha maisha ya watumishi kwa ujumla.

 Semina hiyo imeshirikisha walimu kutoka Halmashauri za Manispaa ya Songea na Halmashauri ya Songea   ambao wamepewa mafunzo kuhusu elimu ya fedha ,kuweka akiba, mikopo ya elimu,mikopo ya  vyombo vya moto, biashara ndogondogo, na mikopo ya kilimo na Bima.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Elizabeth Gumbo akizungumza kwenye mafunzo hayo ameishukuru NMB kwa kuboresha Maisha ya watumishi wakiwemo walimu.

Amesema kongamano hilo  lina manufaa makubwa kwa watumishi, ambao wamepewa elimu juu ya Matumizi sahihi ya fedha ,ikiwemo uhifadhi wa fedha na fursa ya mikopo mbalimbali ambayo inaendeshwa na NMB.

 Ameongeza kuwa kupitia Kongamano watumishi  wamejua sehemu sahihi ya Kwenda kuchukua mikopo ambayo haitowaumiza ni kupitia Benki ya NMB.

  

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.