• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RAIS Samia aagiza kujengwa barabara ya Songea-Njombe

Imewekwa kuanzia tarehe: September 29th, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Ujenzi kukamilisha maandalizi na kuanza kujenga upya barabara ya Songea - Njombe - Makambako (km 295) pamoja na ujenzi wa barabara ya mzunguko ya Songea (Songea Bypass) yenye urefu wa kilometa 16 kwa kiwango cha lami.

Rais Samia ametoa agizo hilo kwa Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa, wakati akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Ruvuma katika mkutano wa kuhitimisha ziara yake ya kikazi uliofanyika katika Uwanja wa Majimaji Songea Mkoani humo.

“Ninafahamu barabara ya Songea - Njombe hadi Makambako sasa inahitaji matengenezo makubwa tayari nimeshaielekeza Wizara ya Ujenzi kuishughulikia pamoja na barabara ya mzunguko ya bypass ya hapa Songea hatua za kuanza kuijenga zipo mwishoni”, amesema Rais Dkt. Samia.

Rais Samia ameeleza kuwa hadi kufikia mwezi Oktoba, 2024 Serikali itakuwa imempata Mkandarasi kwa ajili ya kuanza kazi ya ujenzi wa barabara ya Lukuyufusi - Mkenda (km 60) kwa kiwango cha lami ili kuweza kuunganisha Mkoa wa Ruvuma na nchi jirani ya Msumbiji.

Halikadhalika, Rais Dkt. Samia amesema kuwa tayari ameidhinisha kiasi cha Shilingi Bilioni 3.5 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa barabara ya Amani Makoro hadi Luanda (km 35) kwa kiwango cha lami ambapo tayari Serikali imekamilisha sehemu ya barabara hiyo kilometa tano kuanzia Kitahi hadi Makolo.

Rais Dkt. Samia amewaeleza wananchi wa Mkoa wa Ruvuma kuwa Serikali ina mpango wa kuunganisha Wilaya ya Nyasa na Songea Vijijini kwa kuanza ujenzi wa Daraja la Mitomoni lenye urefu wa mita 80.

Rais Dkt. Samia akiwa Mkoani Ruvuma katika ziara yake ya kikazi, Katika Sekta ya Ujenzi alikagua ukarabati na upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Songea ambao umekamilika kwa asilimia 100 na kugharimu shilingi Bilioni 40.87 pamoja na kufungua barabara ya Mbinga - Mbamba Bay (km 66) iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami na kugharimu Shilingi Bilioni 122.76

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • AMEUONA Mwenge Songea baada ya miaka 63 ya Uhuru

    May 14, 2025
  • MWENGE wa Uhuru watingisha Manispaa ya Songea,wapitia miradi ya bilioni 1.8

    May 14, 2025
  • MWENGE wa Uhuru wakagua jengo la OPD zahanati ya Jimbo katoliki Mvinga

    May 14, 2025
  • MWENGE wa Uhuru wakagua mradi wa jengo la OPD zahanati ya Jimbo Katoliki Mbinga

    May 14, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.