• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RAIS SAMIA alivyoboresha miundombinu Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: May 21st, 2024


Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan imeendelea  kuimarishaji miundombinu katika Mkoa wa Ruvuma

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed  ameitaja baadhi ya miundombinu hiyo kuwa ni Pamoja na  upanuzi na ukarabati wa Kiwanja cha Ndege  Songea kimekarabatiwa kwa gharama ya shilingi bilioni 37.

Miundombinu mingine ameitaja kuwa ni ujenzi wa soko katika kijiji cha Peramiho wilayani Songea unaendelea kwa gharama ya Zaidi ya  shilingi milioni  200.7 na ujenzi wa kituo cha mabasi katika kijiji cha Parangu unaendelea kwa gharama ya Zaidi ya  shilingi  miliobi 225.

Kulingana na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Serikali pia imejenga Bandari kubwa na ya kisasa ya Ndumbi katika ziwa Nyasa kwa gharama ya bilioni 12.5 .

Amebainisha kuwa  Bandari hiyo ina gati lenye urefu mita 160 kwenda ziwani, urefu (jetty head) wa mita 20.4, ramp urefu wa kwenda Ziwani mita 40 urefu (Ramp head) mita 10, ghala la kuhidhi mizigo inayoathiriwa na mvua lenye mita za ukubwa 2,020, eneo lenye sakafu ngumu (heavy heavy yard) kwa ajili kuhifadhi mizigo isiyoathiriwa na mvua lenye ukubwa wa meta za mraba 9,030 na jengo la kupumzikia abiria na  ofisi na nyumba za watumishi.

Amesema serikali pia inatarajia kujenga  Bandari mpya ya kisasa ya Mbamba Bay kwa lengo la kuimarisha Ushoroba wa Maendeleo wa Mtwara (Mtwara Development Corridor), ambayo ni njia fupi na rahisi ya kuhudumia mzigo wa Malawi kutokea Bandari ya Mtwara.

Amesema bandari hiyo inaunganishwa kwa barabara hadi Bandari ya Mbamba Bay na kuunganisha hadi Bandari za Malawi kupitia majini.

Hata hivyo amesema  Ili kutekeleza mradi huo mkubwa, Serikali ya Awamu ya sita imetoa Zaidi ya shilingi bilioni 70 kwa ajili ya ujenzi wa Bandari kubwa na kisasa ya Mbamba Bay.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.