• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RAIS Samia alivyoifungua Wilaya ya Nyasa

Imewekwa kuanzia tarehe: February 18th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, mkoani Ruvuma Mhe. Peres Magiri, amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kwa ajili ya matengenezo ya barabara wilayani humo.

Amesema jumla ya kilomita 268 za barabara zimekarabatiwa kwa kiwango cha lami, ikiwa ni pamoja na barabara ya Mbamba Bay – Kilosa, ambapo kazi bado inaendelea katika kilomita 5.5.

Hata hivyo amesema Kwa maeneo yenye miinuko mikali, kilomita 1.2 ya barabara inajengwa kwa zege, huku madaraja 12 yakiwa tayari yamejengwa.

Ameongeza kuwa barabara ya kutoka Njambe hadi Ndonga yenye urefu wa kilomita 6.9, ambayo haikuwa inafikika tangu uhuru, sasa imefunguliwa na kwamba serikali imetumia shilingi bilioni 11.2 kuboresha barabara kupitia TARURA..

Akizungumzia barabara ya lami nzito kutoka Mbinga hadi Mbambabay Mkuu wa Wilaya amesema barabara hiyo iliyogharimu shilingi bilioni 129 imeifungua wilaya ya Nyasa.

Kabla ya ujenzi wa barabara hii, wananchi walilazimika kusafiri kwa zaidi ya saa saba hadi nane, hasa wakati wa mvua, ambapo safari ilikuwa ikichukua siku nzima.

Hata hivyo, kwa sasa safari hiyo inachukua saa moja na nusu, kutoka Mbambabay hadi Mbinga hali ambayo imerahisisha usafiri na usafirishaji wa bidhaa mbalimbali.

Mwenyekiti wa Halmashauri Wilaya ya Nyasa, Mhe. Starwat Nombo amesema barabara hizo zimekuwa mkombozi kwa wananchi kwa kuwa zimefungua milango ya fursa mbalimbali, zikiwemo za utalii katika mji wa Mbamba Bay na Mualo Bichi.

Mkazi wa Mbamba Bay, Bw. Andrea Ligola ameishukuru serikali kwa kuboresha barabara hizo, akieleza kuwa awali usafirishaji wa dagaa ulikuwa mgumu kutokana na magari kukwama na bidhaa kuharibika njiani.

Naye Emakulata Kayombo, mkazi wa Mbamba Bay, amepongeza juhudi za Rais Samia, akisema barabara hizo zimerahisisha usafirishaji wa mizigo na kuongeza idadi ya mabasi  kutoka mawili hadi 12.

Maendeleo haya yanaonesha jinsi serikali ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan inavyowekeza katika miundombinu ili kuinua uchumi wa wananchi wa Nyasa na Tanzania kwa ujumla.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.