• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RAIS Samia anavyoendelea kutoa fedha za kutekeleza miradi Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: March 16th, 2025

Serikali imeendelea kutoa fedha nyingi kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali muhimu kama elimu, afya, maji, barabara, nishati, kilimo, na miundombinu mingine ikiwemo bandari.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Ushauri Mkoa RCC amesema Ili kufanikisha malengo ya miradi hii, wananchi wanahimizwa kushiriki kikamilifu katika usimamizi wa utekelezaji wake ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati na kuwanufaisha wananchi kama ilivyokusudiwa.

Katika hatua nyingine, Kanali Abbas amesema Mkoa wa Ruvuma umeendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato ya ndani ya halmashauri.

Kwa mujibu wa Kanali Abbas Kwa mwaka wa fedha 2023/24, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani humo imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 20.33, sawa na asilimia 117 ya lengo la shilingi bilioni 17.43.

Aidha, halmashauri za mkoa huo zimekusanya jumla ya shilingi bilioni 31.46, ikilinganishwa na lengo la bilioni 27.88, ikiwa ni asilimia 112.85 ya makadirio ya makusanyo.

Kutokana na mafanikio hayo, uongozi wa mkoa umepongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Ruvuma, pamoja na viongozi na wataalamu wa halmashauri, wakiongozwa na wenyeviti wa halmashauri kwa juhudi zao katika kuhakikisha makusanyo ya mapato yanaimarika.

Nayo wafanyabiashara wa Mkoa wa Ruvuma wamepongezwa kwa kulipa kodi kwa hiari, hatua ambayo imechangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa mapato ya serikali.

Mapato haya yanaiwezesha serikali kutoa huduma bora kwa wananchi kwa ufanisi na kuendelea kutekeleza miradi ya maendeleo katika maeneo mbalimbali.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MSIKIMBILIE hasara,serikali inakuja na bei ya neema kwa mahindi Julai

    May 31, 2025
  • WAKULIMA Namtumbo wachuma neema ya ufuta kwa teknlojia mpya ya mnada wa kidigitali

    May 31, 2025
  • RUSHWA yazidi kuporomoka na kukosa nafasi Ruvuma

    May 31, 2025
  • SERIKALI yatoa fidia ya bilioni 2.5 kupisha mradi wa umeme wa Grid Songea-Tunduru

    May 31, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.