• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RAIS SAMIA kuzindua mradi wa uchimbaji Urani Namtumbo

Imewekwa kuanzia tarehe: July 24th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, ametangaza rasmi ujio wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye anatarajiwa kuwasili mkoani Ruvuma tarehe 30 Julai 2025 kwa ziara ya siku moja, yenye lengo la kuzindua mradi mkubwa wa uchimbaji wa madini ya uranium katika Wilaya ya Namtumbo.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Songea, Kanali Ahmed amesema mradi wa uchimbaji wa uranium wilayani Namtumbo ni miongoni mwa miradi mikubwa ya kimkakati nchini, unaotarajiwa kuchangia pato la taifa kupitia kodi, kutoa ajira kwa wananchi na kuleta maendeleo ya miundombinu, hivyo kuleta mapinduzi ya kiuchumi kwa wilaya, mkoa na taifa kwa ujumla.

Amewataka waandishi wa habari kutumia taaluma yao kuwafikishia wananchi taarifa sahihi na kwa wakati kuhusu umuhimu na fursa zitakazopatikana kutokana na uwepo wa mradi huo.

Vile vile amewataka kuendelea kushirikiana na ofisi yake na ofisi za wakuu wa wilaya ili kutoa taarifa sahihi kwa wananchi huku wakihamasisha utulivu, mshikamano na uzalendo miongoni mwa wananchi ili siku hiyo iwe ya historia njema kwa mkoa wa Ruvuma.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MARAIS watatu walivyoiandika historia katika kambi ya Muhukuru Songea

    July 25, 2025
  • MAMA auwa watoto watatu kwa kuwchinja Ruvuma

    July 25, 2025
  • RUVUMA kuandika historia mpya

    July 25, 2025
  • RAIS SAMIA kuzindua mradi wa uchimbaji Urani Namtumbo

    July 24, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.