• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC aagiza kuchukuliwa hatua wanaochoma moto misitu

Imewekwa kuanzia tarehe: November 17th, 2023

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanal Laban Thomas amekutana na wadau wa Misitu Halmashauri ya Wilaya ya Madaba na kujadili changamoto mbalimbali za moto  zinazojitokeza.

 Mkuu wa Wialaya ya Songea Wilman Ndile amemwakilisha Mkuu wa Mkoa katika Kikao hicho cha wadau wa  Misitu kilichofanyika Katika Ukumbi wa Amani na kuhudhuria wadau mbalimbali.

Ndile akizungumza katika kikao hicho amesema Misitu ni maisha ya watu ikiwa baadhi ya Halmashauri wanaishi kwa kutengemea Misitu ikiwemo Halmashauri ya Mufindi na Mafinga  Mkoa wa Iringa.

“Halmashauri hizo wanakipato cha kujitocheleza kutokana na Misitu ikiwa madaba tunalima mazaoya chakula  na misitu”.

Amesema miaka 20 iliyopita Madaba hapakuwa na ajenda ya Misitu wala TFS haikuwepo wala miti iliyokuwepo haikuwa ajenda ya kibiashara.

“TFS katika Halmashauri ya Madaba wataanza kuvuna Mazao ya Misitu siyo mda mrefu na mapato yataongezeka sana ikiwa Halmashauri inakusanya Bilioni 1ya mapato ya ndani “.

Hata hivyo Ndile amesema swala la uchumi wa Misitu ni maisha ya watu,na Nchi ikiwa sawa na uchumi mwingine kama  dhahabu Geita.

Hivyo Mkuu wa Wilaya ameagiza kutunza  Misitu kikamilifu bila kuchoma moto holela hata misitu ya asili watakaobainika wanachoma moto wachukuliwe hatua kali ya  kishelia.

“Wiki mbili zilizopita tumepata wawekezaji kutoka Ulaya wamesaini Mkataba katika Mkoa wa Ruvuma akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Tunduru na Namtumbo mkataba unasema vijiji vitakavyotunza msitu vizuri watapewa fedha za asante kwa kutunza misitu “.

“Kama moto unasababisha madhara makubwa lazima tushughulike nao ndiomana sisi ni viongozi tumeona tuanze na hilo kila mmoja awe na ajenda ya miaka ijayo ili janga la moto lisitokee”.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.