• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC Ibuge aziagiza Halmashauri kudhibiti vitendo vya utoroshwaji wa Mazao

Imewekwa kuanzia tarehe: May 13th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amezitaka Halmashauri zihakikishe zinatoa elimu kuhusu mifumo ya masoko kwa wakulima na wadau wengine

Ameyasema hayo katika mkutano wa wadau wa mfumo wa Stakabadhi Ghalani uliofanyika katika ukumbi wa manispaa ya Songea

RC Ibuge amesema Halmashauri zihakikishe zinaweka usimamizi madhubuti wa vyama vya ushirika vya msingi na shughuli zote zinazohusu mifumo ya masoko hasa Stakabadhi Ghala.

“Wafanya biashara na wanunuzi wa mazao na vyama vikuu vya ushirika TAMCU na SONAMCU hakikisheni mnafanya malipo ya wakulima kwa wakati ili kufanya waupende mfumo huu vilevile muda wa kutekelezwa malipo uwe sehemu ya masharti ya ununuzi ”, amesema RC Ibuge.

Hata hivyo amesema uwekwe ukomo wa kiasi cha mazao yanayoweza kuuzwa nje ya mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwa kuangalia nini kifanyike kuhusu wakulima wauze mazao machache wanayotaka kuuza na mengine kujikimu au kuhifadhi nyumbani.

Pia Halmashauri za Mkoa wa Ruvuma zihakikishe zinaandaa mapema mipango na mikakati endelevu ya usimamizi wa zoezi la uzalishaji, ukusanyaji wa mazao na mfumo mzima wa masoko ya mazao hayo ili kumsaidia mkulima kupata kipato chake  

Aidha, ametoa angalizo kwa wamiliki na wafanyabiashara wanaojishughulisha na kuhifadhi mazao kwenye maghala kuzingatia taratibu zilizowekwa katika uhifadhi wa mazao hayo watakaokiuka watachukuliwa hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufungiwa maghala yao.

Imeandaliwa na Bahati Nyoni na Jackson Mbano

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

13 Mei 2022.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.