• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC Ibuge aziagiza Halmashauri kudhibiti vitendo vya utoroshwaji wa Mazao

Imewekwa kuanzia tarehe: May 13th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amezitaka Halmashauri zihakikishe zinatoa elimu kuhusu mifumo ya masoko kwa wakulima na wadau wengine

Ameyasema hayo katika mkutano wa wadau wa mfumo wa Stakabadhi Ghalani uliofanyika katika ukumbi wa manispaa ya Songea

RC Ibuge amesema Halmashauri zihakikishe zinaweka usimamizi madhubuti wa vyama vya ushirika vya msingi na shughuli zote zinazohusu mifumo ya masoko hasa Stakabadhi Ghala.

“Wafanya biashara na wanunuzi wa mazao na vyama vikuu vya ushirika TAMCU na SONAMCU hakikisheni mnafanya malipo ya wakulima kwa wakati ili kufanya waupende mfumo huu vilevile muda wa kutekelezwa malipo uwe sehemu ya masharti ya ununuzi ”, amesema RC Ibuge.

Hata hivyo amesema uwekwe ukomo wa kiasi cha mazao yanayoweza kuuzwa nje ya mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwa kuangalia nini kifanyike kuhusu wakulima wauze mazao machache wanayotaka kuuza na mengine kujikimu au kuhifadhi nyumbani.

Pia Halmashauri za Mkoa wa Ruvuma zihakikishe zinaandaa mapema mipango na mikakati endelevu ya usimamizi wa zoezi la uzalishaji, ukusanyaji wa mazao na mfumo mzima wa masoko ya mazao hayo ili kumsaidia mkulima kupata kipato chake  

Aidha, ametoa angalizo kwa wamiliki na wafanyabiashara wanaojishughulisha na kuhifadhi mazao kwenye maghala kuzingatia taratibu zilizowekwa katika uhifadhi wa mazao hayo watakaokiuka watachukuliwa hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufungiwa maghala yao.

Imeandaliwa na Bahati Nyoni na Jackson Mbano

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

13 Mei 2022.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara July 31, 2022
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma July 31, 2022
  • MKATABA wa Lishe Mkoa wa Ruvuma June 30, 2022
  • ILANI ya Chama Cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2020/2025 August 31, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • JENGO la dharura hospitali ya Rufaa Ruvuma lakamilika

    May 25, 2022
  • WAGONJWA wa kifua kikuu 1728 wagundulika Tunduru

    May 24, 2022
  • DKT.Lawrence Gama alivyoacha kumbukumbu zinazoishi Ruvuma

    May 24, 2022
  • SERIKALI yakabidhi vifaa tiba mtandao hospitali ya Rufaa Ruvuma

    May 23, 2022
  • Tazama zote

Video

SERIKALI yakabidhi vifaa tiba mtandao hospitali ya Rufaa Mkoa wa Ruvuma
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 74 Songea

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: 0252602256

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.