• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC Ibuge azindua uwekaji anwani za makazi na Poskodi

Imewekwa kuanzia tarehe: February 15th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amezindua Operesheni ya uwekaji wa anwani za makazi na postikodi .

Uzinduzi huo umefanyika katika Manispaa ya Songea mara baada ya kikao na watendaji wote wa Mkoa huo, ikiwa ni ishara ya kuanza rasmi utekelezaji wa zoezi hilo muhimu.

Ibuge amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa maono yake na uamuzi wa kuanzisha operesheni muhimu kwa maendeleo ya Nchi kwa gharama nafuu.

“Kama mnavyokumbuka mwaka 2020 nchi yetu iliingia rasmi kwenye uchumi wa kati Kidunia turejee pongezi za dhati kwa Serikari ya awamu ya tano  iliyoongozwa na Hayati Dr.John Magufuri”.

Hata hivyo Ibuge amesema kuna umuhimu wa kuondoka kwenye Ujima wa enzi za zama za mawe za kupigwa ngoma na kujulishwa ujumbe au taarifa na badala yake Taifa liingie kwenye Zama za  Dunia ya kidijitali na Biashara Mtandao zinazojumuisha matumizi Makubwa ya Teknolojia ya Habari.

Amesema ili uchumi ukue kwa haraka na kuendelea kuwa Jumuishi kama ambavyo sasa Tafiti za Kimataifa zinaonesha kuwa Tanzania ni baina ya Nchi za Afrika zilivyokuwa kinara kwa Uchumi jumuishi ni lazima makazi na biashara ziweze kufikika kirahisi.

Kamishna wa Ardhi Msaidizi  mkoa wa Ruvuma Ildefonce Ndemela amesema katika sekta ya Ardhi ni muhimu katika utekelezaji wa zoezi la mfumo wa Anwani za makazi na postikodi nchini.

Ndemela amesema mfumo huo ili uweze kuleta tija na ufanisi katika utoaji wa huduma lazima kuwepo na ramani zitakazotumika kuonesha maeneo mbalimbali ya miji na vijiji zizingatiwekwenye mfumo huo.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Ofisi ya Habari ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Feburuari 15,2022

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.