• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC RUVUMA aagiza kuwajibika kuinua ufaulu elimu ya msingi

Imewekwa kuanzia tarehe: February 15th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, ameishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa uwekezaji mkubwa katika sekta ya elimu, ikiwemo ujenzi wa shule mpya, ukarabati wa shule kongwe, na upanuzi wa elimu ya juu.

Kanali Abbas amesema hayo wakati anazungumza kwenye kikao cha walimu wakuu wa shule za msingi  wapaatao 860 kutoka Halmashauri zote nane kilichofanyika kwenye ukumbi wa Songea Girls

Hata hivyo,Mkuu wa Mkoa amesikitishwa na matokeo mabaya ya kitaifa ya mkoa wa Ruvuma,  katika mitihani ya darasa la VII,ambapo Mkoa umefanya vibaya katika  masomo ya Hisabati na Sayansi.

Ametoa wito kwa walimu, wakuu wa shule, na mamlaka husika kuboresha hali ya elimu ambapo amesisitiza umuhimu wa walimu kusimamia ufundishaji wa stadi za KKK (Kusoma, Kuandika, Kuhesabu) na kuhakikisha walimu wanatekeleza majukumu yao kwa weledi.

Mkuu wa Mkoa amewaagiza walimu na walimu wakuu kutekeleza majukumu yao kwa umakini, kuzingatia usafi wa mazingira, na kuhakikisha wanafunzi wanapata elimu bora.

 Amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri kuwasaidia walimu katika kazi zao, na aliwataka kuchukua hatua dhidi ya wakuu wa shule wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao.

Awali akitoa taarifa kwa Mkuu wa Mkoa, Afisa Elimu wa Mkoa wa Ruvuma Mwl.Edith Mpinzile alisema kuwa Mkoa umefaulisha kwa asilimia 69.34 katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi mwaka 2024, ingawa ufaulu umeongezeka kwa asilimia 0.28 kutoka mwaka 2023.

Ameitaja sababu kuu inayosababisha Mkoa kufanya vibaya katika matokeo ya kitaifa ya darasa la saba ni kukosa usimamizi katika ufundishaji,alisisitiza kuwa ni muhimu kwa wakuu wa shule kuchukua hatua za kuboresha matokeo ya kitaaluma kwa kuwasimamia walimu.

Hata hivyo alisema Mkoa wa Ruvuma unakabiliwa na upungufu mkubwa wa walimu katika shule za msingi ambapo mahitaji ya Mkoa ni walimu Zaidi ya 10,000,walimu waliopo ni 6,214 na upungufu wa walimu ni 3,815.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.