• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC RUVUMA aipongeza NMB kwa kuwajali walimu

Imewekwa kuanzia tarehe: August 20th, 2022

RC THOMAS AIPONGEZA BENKI YA NMB KWA KUWAJALI WALIMU

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas ameipongeza banki ya NMB kwakuazisha Mwalimu Spesho kwa lengo la kujiwekakaribu na walimu kupitia huduma mbalimabli zakifedha

Pongezi hizo amezitoa wakati akizindua hudumampya ya Mwalimu Spesho iliyoanzishwa na benkiya NMB ambayo itawafanya walimu kuwezakupata mikopo mbalimbali kwa lengo kuwanufaisha.

Thomas amesema benki ya NMB ni miongonimwa taasisi za kifedha bora hapa nchini imefanyajambo jema sana kufikilia kuandaa siku ya walimukwaajili ya walimu wetu pia amefurahi kuonamwitikio wa waalimu katika jambo hili

“Kwani hii ni fursa nzuri kwenu kuelewa kwa kina na kwa upana  huduma mbalimbali zitolewazo nabenki ya NMB na nijinsi gani kama wadaumnaweza kupata nafuu kwa uharaka na tunajuaambavyo walimu na watumishi wengine wanavyojiingiza kwenye mikopo umiza lakini kwa kulionahilo ndio maana NMB imeunda siku hii kwa ajiliyenu” alisema RC thomas

Naye mkuu wa idara ya wateja binafsi Aikaliamulo amelezea kwamba NMB inatambuamchango mkubwa wa walimu kwa taifa letu kuwamwalimu anayo nafasi na namna gani waowanweza wakanufaika  na huduma hizi

“Siku ya leo watapata kujua maswala ya elemu yafedha tunafundisha ni namna gani wakatunzefedha wanazozipata kutokana na vyanzo vyaovya mapato pia siku ya leo tunaitumia kupatamlejesho wa huduma au kupata maoni kutoka wawateja tunao wahudumia”alieleza Aikalia mulo

Pia benki ya NMB kila mwaka imekuwa ikitengasiku moja kwa ajili ya kongamano la elemu nchinina uwakutanisha waalimu kwa lengo la kupatamaoni kwa mwaka huu limefanyika PeramihoSongea mkoa wa Ruvuma

Naye Sixbert Komba mwalimu ambayeameudhuria uzinduzi huo katika ukumbi waSemiray peramiho ameweza kuwashukuru NMB kwa kuwa karibu nao walimu.

 

“Hii siku ni ya umuhimu sana kwetu walimusababu tumelekezwa faida za mikopo walimutunamajukumu mengi hata vipato vyetuvinamambo mengi kwahiyo tumeelezwa faida yamikopo na kuwa na nidhamu ya hizo fedha natumeelekezwa namna ya kumuweka mtoto akiba”

 

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.