• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC RUVUMA ampongeza Rais Samia kwa kuendeleza michezo

Imewekwa kuanzia tarehe: April 12th, 2024

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed,amefunga Bonanza la Eid lililofanyika katika uwanja wa michezo wa Majimaji mjini Songea ambalo wanamichezo wa mkoa huo walitumia bonanza hilo kumkaribisha rasmi mkoani Ruvuma.
Bonanza hilo lilishirikisha timu tano za mpira wa miguu ambapo Timu ya Kazaroho Veterani iliibuka mabingwa baada ya kuwafunga wapinzani wao wakubwa Timu ya Songea Pamoja Goli 1-0 kwenye mchezo wa fainali na kujinyakulia kombe na fedha taslimu Sh.laki tano huku Timu ya Songea Pamoja iliyoshika nafasi ya pili ikipata zawadi ya jezi.

Timu za mpira wa miguu zilizoshiriki bonanza hilo ni Kazaroho,Songea Pamoja,Peramiho Veterani, Songea Veterani na Uvccm Ruvuma,ambapo wana muziki wa kizazi kipya na wasanii wa ngoma za asili wa mkoa wa Ruvuma walitoa burudani kwa wananchi waliofika katika uwanja wa Majimaji.

Kwa upande wa Netiball, timu ya Uvccm wilaya ya Songea iliibuka mshindi wa jumla baada ya kuzifunga timu nyingine nne zilizoshiriki kwenye Bonanza hilo ikiwemo KazaRoho Queen na kupata Sh.laki moja na timu washiriki wa bonanza hilo zilipata jezi seti moja kila moja.

Akizungumza na wananchi na wana michezo walioshiriki katika Bonanza hilo Mkuu wa mkoa,amewapongeza wana michezo walioshiriki na wadau waliowezesha kufanyika kwa bonanza hilo ikiwa ni sehemu ya kusherehekea kumalizika kwa mfungo wa Ramadhani na kusherehekea Sikukuu ya Eid.


Mkuu wa mkoa,amempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha kwa ajili ya kuwekeza katika sekta ya michezo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.