• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC RUVUMA ataka Wananchi washirikishwe kwenye ujenzi wa miradi

Imewekwa kuanzia tarehe: November 28th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amewataka viongozi wa Kata pamoja na Halmashauri kuwashirikisha wananchi kwenye ujenzi wa miradi ya maendeleo kwani itasahidia wananchi kuacha kuhujum miradi hiyo

Hayo ameyasema  wakati akizungumza katika mjumuisho wa ziara yake aliyoifanya kwenye Halmashauri ya Manispaa ya Songea kutembelea na kukagua ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule ya sekondari ya Lizaboni, Chandarua na Matogoro

Amesema Serikali imetoa shilingi bilioni 1.5 kwa ajili ya kujenga vyumba vya madarasa 75 kwa lengo la kuondoa upungufu wa madarasa hivyo miradi kama hiyo ni vyema wananchi washirikishwe moja kwa moja maana itasahidia na wao kulinda mradi hiyo

Lakini sehemu nyingi tunazopita tunakuta kamati nyingi hazihusishi wananchi kwahiyo inapelekea wananchi kutokujua taarifa za fedha kuhusu miradi badala yake wanaitwa kubeba tofali asa ili wananchi wasiwe sehemu ya kuhujum mradi lazima washirikishwe kwani itamkumbusha Zaidi kuukinda mradi

Mkuu wa Mkoa amesisitiza kuwa viongozi wa Halmashauri wasipende kutelekeza miradi kwa wakandarasi bila kutembelea kwani inaleta shida kwenye usimamiz wa matumizi wa fedha na vifaa pia kusababisha miradi kutokamilika kwa wakati na kufanya jitihada za serikali kukwama   

Mara chache sana kiongozi kutembelea miradi bila kuulizwa na mkubwa wake ni wasisitize fedha zote zilizopo kwenye miradi tusiache kuja na kuitembelea na lakini kuitolea taarifa ili inapojitokeza changamoto tuifahamu mapema

Naye Mkuu wa Wilaya ya Songea Mhe, Pololet Mgema amemshukuru Rais Samia kwa kuwaleta fedha hizo za ujenzi wa madarasa 75 pia ameahidi kusimamia utekelezaji kwa kushirikiana na wananchi ili kutimiza lengo la Serikali

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.