• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC Ruvuma awafunda watumishi Wilaya ya Mbinga

Imewekwa kuanzia tarehe: September 20th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma ametembelea Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga na kuzungumza na watumishi kwa mara ya kwanza tangu kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Akisoma taarifa Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Aziza Mangosongo amesema kuna  changamoto ya watumishi katika idaraya Elimu Msingi na Sekondari uhitaji ni watumishi 2,248 waliopo ni 978,upungufu 1,270  kwa Shule za Msingi na Sekondari uhitaji ni 881 waliopo ni 504 upungufu  377.

Amesema katika idara ya Afya kuna uhitaji wa watumishi 777 waliopo ni 241 upungufu ni 536 kilimo na  Uvuvi  uhitaji 158 waliopo 456  ikiwemo idara zingine kuwa na upungu.

“Jumla ya watumishi 166  walipandishwa vyeo kwa Mwaka 2021 -2022 watumishi 68 zoezi la kupandisha vyeo linaendelea”.

Mangosongo amesema katika ajira mpya Halmashauri imepokea watumishi 256 katika kada ya Elimu ya msingi walimu 40 Sekondari 48 Afya 22 na wote wameripoti .

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas akizungumza na watumishi hao amesema katika utumishi kila mtu anawajibu wake katika utendaji wa kazi ya Serikali bila kujali upungu wa watumishi uliopo.

Thomas amesisitiza mahusiano mazuri kazini bila kutoa siri za ofisi pamoja na kuheshimiana maeneo ya kazi yanasababisha kuto kuwa na majungu ambayo hayana tija katika utendaji.

“Mimi nilikuwa Mkuu wa Wilaya ya Nyasa na nisingekuwa na mahusiano mazuri na wenzangu leo nisingepewa ushirikiano mzuri katika utendaji kazi”.

Mkuu wa Mkoa ametoa rai kwa watumishi hao katika ukusanyaji wa mapato kuwa waaminifu kwa mfumo wa POS na kuhakikisha fedha hizo zinapelekwa sehemu husika kwa wakati bila kuhujumu Serikali.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa amesisitiza kilimo cha pamoja ikifuatia kwa Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania kutoa Mbolea ya Ruzuku amabyo itasaidia wakulima unafuu wa pembejeo.

“Rais Samia ametoa Mbolea za Ruzuku twende tukasimamie watu wengi wasajiliwe zoezi lisimamiwe liwe endelevu bila upendeleo ”.

 Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Septemba 20,202

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.