• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC RUVUMA awakabidhi wakuu wa Wilaya magari mapya

Imewekwa kuanzia tarehe: July 11th, 2024

 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed amewakabidhi wakuu wa Wilaya watatu magari mapya ya kisasa yaliyonunuliwa na serikali.

Hafla ya kukabidhi magari hayo imefanyika kwenye viwanja vya ofisi ya Mkuu wa Mkoa mjini Songea ambapo wakuu wa Wilaya za Tunduru,Mbinga na Namtumbo wamekabidhiwa magari hayo.

Akizungumza kabla ya kukabidhi magari hayo, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma amemshukuru Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa uwezeshaji mkubwa wa fedha uliosababisha kupatikana kwa vifaa vya usafiri ambavyo vinakwenda kutumika na wakuu wa Wilaya.

Amesema kwa kuanzia serikali ilitenga bajeti ya kununua magari mapya kwa wakuu wa wilaya watatu ambao walikuwa na changamoto kubwa ya magari ambapo amewatia moyo wakuu wa wilaya ambao hawajapata magari  mapya kuwataka wawe na Subira kwa kuwa serikali itaendelea kutenga bajeti  ya ,kununua magari.

“Magari haya yamenunuliwa kwa fedha nyingi,hivyo thamani ya fedha inatakiwa kuakisi thamani ya fedha iliyotumika kwa kuwahudumia wananchi kwenye maeneo yao,wananchi wanatamani kuona changamoto zinazowakabili zinatatuliwa’’,alisisitiza.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Mheshimiwa Ngollo Malenya akizungumza kwenye hafla hiyo,amempongeza Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za kununulia magari kwa wakuu wa wilaya za Mkoa wa Ruvuma.

Amesema ukosefu wa magari kilikuwa  ni kilio cha muda mrefu kwa wakuu wa wilaya ambapo iliwalazimu wakati mwingine kuazima magari kwa wakuu wa Idara ili Kwenda kutatu changamoto kwa wananchi.

Awali Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Rehema Madenge  aliyataja magari mapya yaliyonunuliwa na serikali kuwa ni gari lenye namba  STN 2928 ambalo limenunuliwa kwa ajili ya Mkuu wa Wilaya ya Tunduru,gari STN 2929 kwa ajili ya Mkuu wa Wilaya ya Mbinga na STN 2927 kwa ajili ya Wilaya ya Namtumbo.

Madenge amesema magari hayo yatawasaidia wakuu wa Wilaya hizo kutekeleza majukumu yao ya kila  siku ya ufuatiliaji na  kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi

 vijijini.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.