• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC Thomas yeyote atakaecheza na mbolea za ruzuku amazake amazangu

Imewekwa kuanzia tarehe: August 16th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanal Laban Thomas amewaagiza Wakuu wa Wilaya kusimamia Mbolea za Ruzuku na kuhakikisha zinawafikia wakulima kwa haki.

Hayo amezungumza alipozungumza na wananchi wa Kijiji cha Mtyangimbole Halmashauri ya Madaba Wilaya ya Songea amesema Rais amesikia kilio cha Watanzania na ametoa Ruzuku kwenye pembejeo za Kilimo.

“ Mh. Rais amemwaga Madini kwenye pembejeo za kilimo kutoka bei kubwa  ya Mbolea kutoka  zaidi ya laki moja na ishirini hadi hadi elfu Sabini”.

Thomas ametoa rai kwa Wakuu wa Wilaya kusimamia uandikishaji kwa kila Mkulima kwenye kijiji chake ili kila mtu apate pembejeo za ruzuku.

Mkuu wa Mkoa amewaomba wananchi wa Mkoa wa Ruvuma kujitokeza kuhesabiwa Sensa ya Watu na Makazi ifikapo Agosti 23,2022 ikiwa ni mpango wa  Maendeleo wa miaka 10 ijaya.

Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Menejimenti na Utawala Bora Jenista Mhagama amesema Rais Samia ameamua kuleta pembejeo kwa Ruzuku ya Serikali kwa sababu anawajali sana wananchi wa Tanzania.

Amesema Serikali  imetoa bilioni 50  na imebeba nusu  ya bei na nusu atalipia Mkulima ili kuhakikisha Mwananchi anaondokana na tatizo la ukosefu wa Pembejeo.

Mhagama amesema Wakulima wasichukue mbolea hiyo na kuuza bali kila atakayechukua ahakikishe anatimiza malengo ya kilimo ili kuhakikisha Ruvuma inaendelea kuwa kinara kwa Chakula.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya MKuu wa Mkoa wa Ruvuma

Agosti 16,2022.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.