• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RUVUMA walivyoadhimisha siku ya wanawake Duniani

Imewekwa kuanzia tarehe: March 9th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mbinga, Mheshimiwa Kisare Makori amewaongoza wanawake mkoani Ruvuma kuadhimisha siku ya wanawake duniani ambayo kimkoa imefanyika katika uwanja wa Majimaji mjini Songea.

Akisoma hotuba kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, amesema maadhimisho hayo yanalenga kujenga hamasa na ushiriki katika kuleta usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake.

Amebainisha kuwa moja ya sababu ya kaya kuendelea kuwa maskini ni wanawake kunyimwa haki ya kumiliki rasilimali ardhi, kukosa gharama za kuwawezesha kupata huduma za kifedha, haki ya kupata Elimu na ya kuchaguliwa kama kiongozi katika jamii ambapo Serikali ya awamu ya sita imesimamia haki na kujenga usawa katika jamii.

Amewasihi wanawake kutoa taarifa wanapokutana na matukio ya unyanyasaji au ukatili wa aina yoyote huku akiwataka kuendeleza ushirikiano katika kutoa Elimu na kupinga ukatili na unyanyasaji, kuwaelimisha na kuwapatia fursa stahiki watoto wa kike na kuwatengenezea mazingira bora ya kujifunza na kufundisha.

Pamoja na mambo mengine Mhe. Makori mebainisha kuwa katika mkoa wa Ruvuma mwaka 2024/25  zaidi ya shilingi bilioni 4 zilitengwa kwa ajili ya kutoa mikopo ya asilimia 10 katika halmashauri kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, na hadi kufikia sasa zaidi ya milioni 900  zimetolewa kwa vikundi 146 vya wanawake, hivyo wanawake wanapaswa kuanzisha vikundi na shughuli za ujasiliamali ambazo zitawainua kiuchumi na kuwawezesha kurudisha fedha wanazokopa.

Naye Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma, Oddo Mwisho, amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia imefanya marekebisho ya Sheria mbalimbali na kutengenezea miongozo ambayo inawapatia wanawake fursa kubwa hivyo wanawake wanatakiwa kupambana ili kuhakikisha wanazipata fursa hizo.

Kwa upande wake Mratibu wa maadhimisho hayo Mkoa wa Ruvuma, Xsaveria Mlimira, amesema maadhimisho hayo yanawakumbusha kuielimisha jamii juu ya haki za binadamu hususani wanawake na watoto.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.