• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RUVUMA yafanya tathmini ya Elimu ya msingi

Imewekwa kuanzia tarehe: February 15th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, amesema ni ndoto ya kila Taifa kuwa na wananchi wenye elimu bora itakayowawezesha kuingia kwenye soko la ushindani wa ajira katika kila sekta.

Amesema hayo wakati akifungua mkutano wa tatu wa TAPSHA mkoa wa Ruvuma wa tathimini ya utekelezaji cha wa mtaala 2024 uliofanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Songea (Songea Girls) iliyopo manispaa ya Songea.

"Ni ndoto ya kila Taifa kuwa na watu wenye afya njema, wenye elimu nzuri ambao wana fursa ya kuingia kwenye soko la ushindani wa ajira katika kila sekta, haya hayawezekani kama hatutawekeza kwa kiwango kikubwa katika elimu," alisema Kanali Ahmed.

Amesema serikali imefanya uwekezaji mkubwa katika sekta mbalimbali ikiwemo elimu, hivyo matarajio ya serikali na wazazi ni kuona matunda ya uwekezaji huo yanaleta faida chanya kwa taifa na mkoa.

Ameongeza kuwa ni wakati wa sekta zote za utendaji ndani ya mkoa kujitafakari kama zinafanya kazi inavyotakiwa, hasa sekta ya elimu kwa kuwa imekuwa ikifanya vibaya kitaifa.

Naye Afisa Elimu Mkoa wa Ruvuma, Mwalimu Edith Mpinzile, akitoa taarifa ya elimu ya mkoa, amesema uchambuzi walioufanya umebaini kwamba tatizo kubwa la mkoa wa Ruvuma kufanya vibaya kitaaluma ni kukosa usimamizi wa ufundishaji, hivyo iwapo kila mmoja atawajibika katika eneo lake, mkoa utaweza kufanya vizuri kitaaluma.

Hata hivyo amesema wamefanya vikao vya kitaaluma ili kuwapitisha wataalamu katika changamoto za kielimu na kutafuta ufumbuzi wa changamoto hizo ambapo vikao hivyo vilihusisha maafisa elimu kata, wakuu wa shule za msingi na sekondari, na kikao cha wadau kilichojumuisha wataalamu wa elimu kutoka ngazi tofauti.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.